Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Mimi ninayetumia tecno ilhali nina nyumba yangu na yule anayetumia Samsung aliyopewa na Dada yake anayefanya kazi kwa Waarabu Dubai yupi ana heri?
Simu au nguo sometime huendana na hulka ya mtu
Na hawa malaya wenye simu kali kuliko sisi tuwaweke kundi moja na wewe?
Simu au nguo sometime huendana na hulka ya mtu
Na hawa malaya wenye simu kali kuliko sisi tuwaweke kundi moja na wewe?