Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 897
- 2,835
Hongera kwa kumuliki simu nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YapKama Simu Ndio Utajiri Basi Makahaba Na Wadangaji Mjini Wange Kuwa Matajiri Wadunia
Maana Ndio Wamiliki iPhone Macho Matatu Nyuma Nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli...mi binafsi sijawai hata kuwazaga aina gani ya simu ninayotumia.Binafsi natumia tecno na si masikini ila tu sijawahi kuzinguka na simu. Simu mie utumia kupigia na WhatsApp na msg kwenye internet issue natumia Ipad Air 2 na JF mara nyingi natumia Laptop HP Pavilion core i7 8th Gen. Mtoto wangu yeye mali anayojivunia ni iPhone x ambayo nilimpa baada ya kununulia na mradi mmoja nilikuwa nimewin.
Mtoa mada wewe bado ni mtoto kwa hiyo unajua kitu cha thamani katika Maisha ni simu ya gharama. Haiko hivyo sisi wengine tulishavuka huko. Bei ya iPhone X ni nusu ya ada ya mtoto wangu wa primary mmoja. Priority kwangu sio simu tena ni vitu vingine vikubwa vyenye kuzalisha. Hayo masimu tunahonga vitoto vya chou tunavikojolea tunavidump
Unaupeo wa kufikiriaaa I like youUkumbuke pia kuna watu wanatumia Samsung, Iphone n.k lakini hawana lolote la maana.
Na usishangae kukuta mtu anatumia samsung au iphone lakini anabangaiza ameajiriwa kwa mtu anayetumia Tecno!.
Simu pekee haitoshi kumaanisha kuwa mtu huyu ni tajiri au masikini.
Kweli bwana wengi humu sisi ni masikini ndio maana tukiona mtu ametupia video bila maelezo tunakunja ndita kama muha aliyenyimwa sahihi na afisa uhamiajiNimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Asante mkuu mie natumia Infinix!! Ila natamani Sumsung Galaxy note 10+!!Nimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.