Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini uwe tajiri uvumilie kero zote hizo za Tecno? Nini sababu hasani kweli quality ya tecno ni duni kuliko samsung, iphone, huawei au sony lakini umiliki kati ya hizo simu sio kigezo mtu huyo maisha yake zofli khali au hali bora achilia mbali utajiri uliotaja.
maana tukianza kufafanua tajiri ni nani huu uzi utazidi kupoteana, aah nisijichoshe. mtoa mada utakuwa umenielewa, si ndio?
Sent using Jamii Forums mobile app
utajiri ni nini?Kwanini uwe tajiri uvumilie kero zote hizo za Tecno? Nini sababu hasa
Kuwa na pesa ya kununua chochote kizuri ukipendacho bila mawazo. Kiufupi utajiri ukupunguzie shida
Mambo ya simu tumewaachia nyie watoto msio na majukumu wala msiojua nini maana ya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na pesa ya kununua chochote kizuri ukipendacho bila mawazo. Kiufupi utajiri ukupunguzie shida
Nimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Binafsi natumia tecno na si masikini ila tu sijawahi kuzinguka na simu. Simu mie utumia kupigia na WhatsApp na msg kwenye internet issue natumia Ipad Air 2 na JF mara nyingi natumia Laptop HP Pavilion core i7 8th Gen. Mtoto wangu yeye mali anayojivunia ni iPhone x ambayo nilimpa baada ya kununulia na mradi mmoja nilikuwa nimewin.
Mtoa mada wewe bado ni mtoto kwa hiyo unajua kitu cha thamani katika Maisha ni simu ya gharama. Haiko hivyo sisi wengine tulishavuka huko. Bei ya iPhone X ni nusu ya ada ya mtoto wangu wa primary mmoja. Priority kwangu sio simu tena ni vitu vingine vikubwa vyenye kuzalisha. Hayo masimu tunahonga vitoto vya chou tunavikojolea tunavidump
Hakuna tajiri mwenye Tecno hapa Tanzania, hakunaaaaaaaa 😂level za simu sio utajiri, simu ni kifaa tu cha mawasiliano. mimi nina rafiki anatumia simu nzuri sababu anapiga picha vifaa vya kuagiza tu.
yupo vizuri lkn simu yake ya mawasiliano ni samsung 101 FM redio.
ila kabwela mimi hata sasa najipanga kubadili tena simu, yeye atabadili gari[emoji23][emoji23][emoji23]
tuelewane, simu nzuri sio utajiri aisee yaani mimi tajiri simu nzuri bando la 1gb inaisha muda wake saa2 usiku huu bado dk chache tu. napotea hewani [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nataka niwape tusi baya nyie mnaotumia Tecno ili mmtukane huyo mtetea ila nimekumbuka jana nilikuwa natoa mawaidha kwenye nyumba ya ibada.
nashukuru nilikuwa najiona masikini kumbe nina kigezo kuitwa tajiri[emoji23][emoji23]Hakuna tajiri mwenye Tecno hapa Tanzania, hakunaaaaaaaa [emoji23]
Wewe kutotumia Tecno haimaanishi ni tajiri. Ila tajiri hawezi tumia Tecno labda awe katoka chato huko kapata pesa ghafla hajui dunia inaendajenashukuru nilikuwa najiona masikini kumbe nina kigezo kuitwa tajiri[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeamua kutustahi tu ama nene..[emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa nataka niwape tusi baya nyie mnaotumia Tecno ili mmtukane huyo mtetea ila nimekumbuka jana nilikuwa natoa mawaidha kwenye nyumba ya ibada.
Labda auze puru lake ili akununulie.Tumekusikia mkuu kwahiyo unatakaje eti au tununulie basi hizo simu unazozitaka [emoji134]