Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
ππππ na mbadala wa tecno...infinixNimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ na mbadala wa tecno...infinixNimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Na kwako pia mkuuWewe jamaa ni muda sijakuona, heri ya mwaka mpya.
Tumbaku kabisaNimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
ππππ na mbadala wa tecno...infinix
Oppo siifahamu hataOppo inaangukia wapi?
Unajua branding is a real deal mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi natumia tecno na si masikini ila tu sijawahi kuzinguka na simu. Simu mie utumia kupigia na WhatsApp na msg kwenye internet issue natumia Ipad Air 2 na JF mara nyingi natumia Laptop HP Pavilion core i7 8th Gen. Mtoto wangu yeye mali anayojivunia ni iPhone x ambayo nilimpa baada ya kununulia na mradi mmoja nilikuwa nimewin.
Mtoa mada wewe bado ni mtoto kwa hiyo unajua kitu cha thamani katika Maisha ni simu ya gharama. Haiko hivyo sisi wengine tulishavuka huko. Bei ya iPhone X ni nusu ya ada ya mtoto wangu wa primary mmoja. Priority kwangu sio simu tena ni vitu vingine vikubwa vyenye kuzalisha. Hayo masimu tunahonga vitoto vya chou tunavikojolea tunavidump
Oppo siifahamu hata
Kwa hiyo kwenye Tecno na Infinix tumefikia conclusion gani?
Mmh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] Niingie peponiHivi bado upo na ile Samsung S10 au umebadili?[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
kondom moja tu miaka kadhaa iliyopita ilikuwa inatosha kutuepusha na hii thread ya kipuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu serious utumie tecno?