Naweza angukia rafik hapa type yangu ety.
Nadhani kabisa.
Thanks a lot,Warmly welcome Mr.Suriya
Cha muhimu mawasiliano, maisha ni kuchagua aidha kuwekeza kwenye vitu vya maana ama kuwekeza kwenye vitu visivyo maana. Tajiri ni yule anayewekeza kwenye vitu vinavyoongezeka thamani kila baada ya muda fulani.
Haya sijui maiphone,masamsung, matecno ni makopo tu.
Ya kutokuhonga sio? Yeah huwa sihongi. 😁Ukiachana na ukwasi ulionao ---Kuna sifa yako nyingine pia umesahau kuitaja ..
Sent using Jamii Forums mobile app
🙄 Nitaanza kuokota embe 2025.
Hahaha! Kipindi cha nyuma kidogo hizo ndo zilikuwa movies zangu + Nollywood movies. Ndo chanzo cha kulitumia hata hili jina la pyaar.Pyaar umenikumbusha jina la movie moja ya kihindi yenye hisia kali sana...inaitwa pyaar impossible
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Enzi kidogo nilikuwa napenda sana, kwasasa sio mfuatiliaji sana kutokana na ufinyu wa muda.Thanks a lot,
Naaa unapenda Bollywood? Kiasi au sana kama mim?
Taja mali unazomilki ukiacha hiyo simu yako isiokuwa Tecno...Nimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Duuuuh kwa hiyo kipimo cha umasikini na utajiri Tanzania ni matumizi ya aina ya Sim , aiseeNimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Hahaha Nyau sana ..... UmeniwahiYa kutokuhonga sio? Yeah huwa sihongi. [emoji16]
[emoji849] Nitaanza kuokota embe 2025.
😂😂
Yani mtu yumo JF toka 2012 wewe umekuja 2018 unamuita dogo kweli?
Bora Tecno ya kununua kwa pesa yako kuliko iphone ya kuhongwaNimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.