Aliekuambia anayetumia Tecno nitajiri nani ujakuwa bado ww alafu ni mshamba kumbe bado hujui chochote kuhusu simu na matumizi yake kama unatumia simu kwajili ya showoff basi ww ni limbukeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu vipi unatumia tecno? Maana kwa risala hii jamaa atakoma kabisa kutusema sisi wenye tecno
Sent from my iPhone using JamiiForums