G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
2020 imefika ntafurahi pia kma utafufua huu uzi kwenye makabrasha ya jf mkuu, niko mbeya kwa ukweli, Sugu inabidi asibweteka haka kamama kanazunguka kweli na kamewakamata kwrli akina mama
Hao ma ccm wajiandae kwenda kugombea kupitia jimbo la magogoni