Uchaguzi 2020 Wana Mbeya hatupo tayari kwa Tulia Ackson

Uchaguzi 2020 Wana Mbeya hatupo tayari kwa Tulia Ackson

Sisi wana Mbeya tumeyaona anayoyafanya akiwa bungeni.

Sisi tumeshazoea kutenda haki na hivyo basi hatupo tayari kuongozwa na mtu asiye ipenda haki maana bila haki hakuna maendeleo.

Mbunge wetu tuliye naye anatutosha.

View attachment 1278080

I hate this broad to death!

Yaani namchukia!

Limefanya upumbavu mkubwa bungeni,halafu leo linazunguka kuji-promote,to who?

Nobody needs you,you are useless!
 
Kwa sasa ndiyo watu wameichoka sana ccm kuliko wakati mwingine wowote
Mwambie huyu ndugu naona yupo gizani. Anajidanganya kwamba CCM inapendwa lakini wenye chama chao wanajua kabisa CCM haipendwi ndio maana wanahofu kwenye sanduku la kura. Najiuliza, kama CCM inajiamini na kwamba watu wanaipenda, hofu ya uchaguzi huwa inatoka wapi? Hawataki mgombea wa upinzani ashindane na mgombea wa CCM kwenye kura. Tatizo ni nini?
 
Sisi wana Mbeya tumeyaona anayoyafanya akiwa bungeni.

Sisi tumeshazoea kutenda haki na hivyo basi hatupo tayari kuongozwa na mtu asiye ipenda haki maana bila haki hakuna maendeleo.

Mbunge wetu tuliye naye anatutosha.

View attachment 1278080
Hatuwezi kuwakilishwa na kinyago hiki wana Mbeya, tuna warembo wakutisha wanaopendeza sana. HUYU HATUMTAKI
 
Mkuu ushawishi wa huyu dada Mbeya unaongezeka Kila uchao na Kama upo karibu na sugu mwambie asipoteze pesa nyingi kwa kampeni,afanye maisha maana lolote laweza tokea.
Ushawishi kwa nani? Huyu anaweza kumshawishi mumewe tu amwingilie na ubaya alionao, mwanamke gani ana sura utadhani anakula ndimu ??
Na kweli duniani kuna uchawi, hivi aliolewaje huyu?
 
Wanajijua fika kwamba hawapendwi, wanachofanya ni kuendelea kuwapumbaza wapumbavu wenzao
Mwambie huyu ndugu naona yupo gizani. Anajidanganya kwamba CCM inapendwa lakini wenye chama chao wanajua kabisa CCM haipendwi ndio maana wanahofu kwenye sanduku la kura. Najiuliza, kama CCM inajiamini na kwamba watu wanaipenda, hofu ya uchaguzi huwa inatoka wapi? Hawataki mgombea wa upinzani ashindane na mgombea wa CCM kwenye kura. Tatizo ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushawishi kwa nani? Huyu anaweza kumshawishi mumewe tu amwingilie na ubaya alionao, mwanamke gani ana sura utadhani anakula ndimu ??
Na kweli duniani kuna uchawi, hivi aliolewaje huyu?
Ukweli mchungu ni kuwa anakubalika zaidi kuliko sugu na mwanjelwa.
 
Kutenda haki, msingekuwa mnachunana ngozi, MPUMBAVU we!
Nje ya mada.WanaMbeya ni watu wema sana.Unataka kusema Mh.Sugu anahusika na kutenda huo uhayawani?Serikali imeshindwa kulinda watu wake na mnalalamikia wapinzani?Huyo Tulia anaenda kufanyaje akiwa Mbunge wa Mbeya?
 
Wacha kujidanganya!! Anakubalika kwa kipimo gani? Umewahi kuwashindanisha kwenye sanduku la kura ?

Hatuwezi kuwa na mwakilishi mwenye sura kama kinyago
Sura ni uumbaji wa Mungu,Kuna msemo wa kichina kuwa uzuri wa kitu huwa machoni pa mtazamaji kwako mbaya ila kwa wengine ni bonge la mlimbwende,na kuhusu kukubalika hauna haja ya kutumia elimu kubwa kujua hilo kwani hata watoto wadogo wa Mbeya wanalijua hilo.Wewe endelea kupiga kelele mwenzio anazidi kuchanja mbuga.
 
Sura ni uumbaji wa Mungu,Kuna msemo wa kichina kuwa uzuri wa kitu huwa machoni pa mtazamaji kwako mbaya ila kwa wengine ni bonge la mlimbwende,na kuhusu kukubalika hauna haja ya kutumia elimu kubwa kujua hilo kwani hata watoto wadogo wa Mbeya wanalijua hilo.Wewe endelea kupiga kelele mwenzio anazidi kuchanja mbuga.
Wewe ni mundali??maana ni zero brain nyie
 
  • UNAONAJE KAMA UNGEANDIKA "MIMI MWANA MBEYA" MAANA NINAYOYASIKIA KWA WAPIGA KURA HALISI SI SAWA NA WAPIGA KURA WA JF
 
Back
Top Bottom