Kweli kamanda!Sisi wana Mbeya tumeyaona anayoyafanya akiwa bungeni.
Sisi tumeshazoea kutenda haki na hivyo basi hatupo tayari kuongozwa na mtu asiye ipenda haki maana bila haki hakuna maendeleo.
Mbunge wetu tuliye naye anatutosha.
View attachment 1278080
Ila muambie Tundu tukitaka kuchukua jimbo tena asijethubutu kueleza sera za ushoga.
WanaMbeya Ushoga kwao ni ABOMINATION.
Walimsikia wakati akielezea sera hii kwenye Hard talk na juzi wamarekani wamemkquote alivyoenda kwao kulalamika kuwa JPM anakiuka haki za MASHOGA.