Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
What is the root cause of strikes,(kinacho sababisha maandama nii nini,) .1. Inawezekana ikawa ni ujingaKwa nini uende outside the Box wakati ndani ya Box kuna majibu yote.
Mimi nijibu straight acha cheap jargons. Lini ulisikia Moshi kuna maandamano?
Pili baada ya Mrisho Gambo kuwa RC Arusha unaonaje biashara ya utalii ilivyopanda as opposed na kipindi cha Godbless Lema?
2. Jamii mfu, ( jamii ambayo haiwezi kuhoji, (silent society) ,je hiyo jamii itakaa kimya kwa muda gani na madhara yake ni yepi?, Kumbukeni tumeandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kuhoji linaanza kwenye ngazi ya familia,(ostracism)
3..Changamoto zisizo tarajiwa,(uncertainty), changamoto zisizo tarajiwa kwa asilimia kubwa husababishwa na binadamu kwa kutokujua ama kwa makusudi hii ya makusudi hutokana na tabia ya unyumbu,(human herding) ambayo limelifikisha taifa hili hapa tulipo