GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Haya Ndugu zangu wa Kizanaki ninaomba kuanzia sasa anzeni kuniandalia Kichuri, Pombe Jani na Totooz za maana.
ONYO
Ukijijua fika Wewe ni Mhaya kutoka Mkoa wa Kagera, Mrangi kutoka Wilayani Kondoa Mkoani Dodoma, Mnyaturu na Mnyiramba kutoka Mkoani Singida, Muha kutoka Mkoani Kigoma, Mkara kutoka Visiwa vya Ukarani Mwanza - Mara na Mnyamwezi kutoka Mkoani Tabora usipoteze kabisa muda wako Kuchangia kwani hakuna mlijualo zaidi ya kuwa Washamba huku Sisi wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) ndiyo tukiwafundisha Ujanja na kuwapeni Akili.
Watani zangu mpo.......!!
ONYO
Ukijijua fika Wewe ni Mhaya kutoka Mkoa wa Kagera, Mrangi kutoka Wilayani Kondoa Mkoani Dodoma, Mnyaturu na Mnyiramba kutoka Mkoani Singida, Muha kutoka Mkoani Kigoma, Mkara kutoka Visiwa vya Ukarani Mwanza - Mara na Mnyamwezi kutoka Mkoani Tabora usipoteze kabisa muda wako Kuchangia kwani hakuna mlijualo zaidi ya kuwa Washamba huku Sisi wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) ndiyo tukiwafundisha Ujanja na kuwapeni Akili.
Watani zangu mpo.......!!