Wana MMU nisaidieni, nifanyeje?

Huo ndio uanaume sasa, unapiga show hadi yai viza. Miaka yote umeona powa sasa kimekusibu nini?
 
Mwanamke mzuri usipokuta ana gono sugu basi atanuka k au mdomo maana hao wanakuwa wanawindwa na watu wengi mi yalinikuta sina hata hamu nao kwa kweli .
 
1. Mfanyie appointment kwa dentist afu mpe namba mwambie akaonane nae.

2. Mfanyie appointment kwa Gyno mpe namba na muda mwambie akaonane nae.

Kuna mambo si matatizo kwanini mnakubali yawe matatizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…