Wana MMU nisaidieni, nifanyeje?

Wana MMU nisaidieni, nifanyeje?

ijapokua umesema mchepuko lakini nimeingia hamasa ya kushaur baada yakugundua unayo nia ya kumsaidia


akipiga mswaki asugue ulimi na azingatie maji mengi yani anywe maji kwa wingi na ukamwone daktar wa kinywa ni ngumu kuandamana naye pengune hajui kama anatoa hizo haruf so kuzngatia tatizo lilivyo kajiexpress kwa dokta kwa niaba yake

kuhusu kutoa harufu chini, aache kula vyakula vya sukari, apunguze matumizi ya sukari na hizo chupi zake anatakiwa aachane nazo aanze upya na akijisafisha asafishe sehem zake kuanzia mbele kwenda nyuma
 
Harufu mbaya ya kinywa na kule ubibini inakata sana wakuu. Kuna pisi nilichukua namba siku tumeonana dinner ile harufu yake ya kinywa ilinikatisha tamaa nikajua labda huenda ni siku hiyo tu, nikajaribu siku nyingine mambo n yale yale. Sikuhangaika hata kutuma maombi nikampotezea.

Mpunguze kunyonyana nyuchi hizo zinawaharibu vinywa.
 
Mimi si mpenzi wa MMU na huwa naingia huku kwa nadra sana.
Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie.

Iko hivi, mimi nina mchepuko, ni mtoto mzuri sana na ninaye siku nyingi.
Nikimwomba aje niko safari Dodoma, Arusha, Moro au kwingineko anakuja tuna spend night bila kikwazo chochote.
Huyu mchepuko wangu anajistahi na ni mpole hana makeke ya ubishoo mitaani.
Na ni mzuri, mzuri haswa.

Tatizo.
Jamani hili tatizo lake linanitia unyonge sana.
Bibie ana mdomo unanuka haswa, hata ukimpiga tongue kiss inabidi ujishauri.
Na tatizo la pili ni huko kwenye tunda la uhai, kunatoa harufu inakera, ukipiga kimoja ushirikiano na mzee akilala unakuwa hamna, ukikumbuka harufu zote mbili.

Kwa wanawake mliomo humu jamani nipeni ushauri nisikaache haka katoto kazuri.
si umpeleke hosptal, mbona ishu ndogo hizo ijulikane kama ana shida kama hana umuelekeze usafi
 
Harufu mbaya ya kinywa na kule ubibini inakata sana wakuu. Kuna pisi nilichukua namba siku tumeonana dinner ile harufu yake ya kinywa ilinikatisha tamaa nikajua labda huenda ni siku hiyo tu, nikajaribu siku nyingine mambo n yale yale. Sikuhangaika hata kutuma maombi nikampotezea.

Mpunguze kunyonyana nyuchi hizo zinawaharibu vinywa.
Wee hunyonyaniii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume miaka nenda rudi tuna matatizo hilo nakiri.
Haturidhiki na mmoja.
Acha fix kijana, kama hiridhiki na mmoja si ungekua unakula vyuma vya mikoa uliyopo na sio kuita chombo yako hiyo moko.

Enewei kua makini hizo harufu usijezichukua ukampelekea mkeo.

Mpeleke hospitali hivyo vyote vinatibika, wanawake wana vimagonjwa vingivingi usijemtibu kwa mitishamba ukamharibu zaidi.
 
Mimi si mpenzi wa MMU na huwa naingia huku kwa nadra sana.
Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie.

Iko hivi, mimi nina mchepuko, ni mtoto mzuri sana na ninaye siku nyingi.
Nikimwomba aje niko safari Dodoma, Arusha, Moro au kwingineko anakuja tuna spend night bila kikwazo chochote.
Huyu mchepuko wangu anajistahi na ni mpole hana makeke ya ubishoo mitaani.
Na ni mzuri, mzuri haswa.

Tatizo.
Jamani hili tatizo lake linanitia unyonge sana.
Bibie ana mdomo unanuka haswa, hata ukimpiga tongue kiss inabidi ujishauri.
Na tatizo la pili ni huko kwenye tunda la uhai, kunatoa harufu inakera, ukipiga kimoja ushirikiano na mzee akilala unakuwa hamna, ukikumbuka harufu zote mbili.

Kwa wanawake mliomo humu jamani nipeni ushauri nisikaache haka katoto kazuri.
Magonjwa ya zinaa nayo yanaanza kupata usugu wa dawa. Mfikirie mkeo na watoto utakao waacha yatima
 
Back
Top Bottom