Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

Kama yupo ameshindwa kufanya hivyo for the last 20 years.

Duh!
Mkuu mpaka nakuogopa.

Kuna mwanamuziki mmoja aliwahi kuimba "kama kusingekuwa na dini duniani, kipimo cha uovu kingekuwa nini"? Sasa kama ndugu huamini uwepo wa Mungu basi ni wazi unaamini katika "freedom of commiting evils or leaving a 'saints' life", kati ya hayo mawili lolote unaweza fanya, no one to fear than laws.

Sasa wewe ni wa kuogopwa, kwa maana if u can manage to play above the laws, then there is nothng on top can 'shake' u either!

Unaweza hata kuua hadharani..
 
Duh!
Mkuu mpaka nakuogopa..
Kuna mwanamuziki mmoja aliwahi kuimba "kama kusingekuwa na dini duniani, kipimo cha uovu kingekuwa nini"? Sasa kama ndugu huamini uwepo wa Mungu basi ni wazi unaamini katika "freedom of commiting evils or leaving a 'saints' life", kati ya hayo mawili lolote unaweza fanya, no one to fear than laws..
Sasa wewe ni wa kuogopwa, kwa maana if u can manage to play above the laws, then there is nothng on top can 'shake' u either!

Unaweza hata kuua hadharani..

Si kweli.

Kuna magaidi wanajilipua na kuua waziwazi kwa sababu wanaamini mungu.

Na kuna watu safi tu ambao hawaamini mungu hawali hata nyama kwa kuwa dhamiri zao haziwaruhusu kula kiumbe chenye damu kama binadamu.

Kuna wtawa wa kikatoliki wanaomuamini mungu na kuvifanya vitoto mambo mabaya.

Kuna watu wasioamini mungu ambao wametoa maisha yao kusaidia ulimwengu.

Usiwe so simple kusema kwamba eti kuamini mungu ndiyo kutenda mema na kutoamini mungu ni kutenda mabaya.
 
nilidhani baada ya kusoma uzi huu ningemkuta Kiranga kalegeza msimamo wa kutoamini uwepo wa MUNGU, kumbe wapi.namuonea huruma sana.ila nina imani ipo siku aliye na mamlaka kuu kushinda zote,atajidhihirisha kwake kwa namna atakayo jichagulia.praise the lord and say AMEN
 
Last edited by a moderator:
Kuna dhana ya ajabu iliyoenezwa na baadhi ya wahubiri makanisani kwamba wanasayansi hupingana na uwepo wa Mwenyenzi Mungu. Huwa nachukulia hali hiyo ni kutokana na kukosa elimu ya uhakika na, hivyo, kuanzisha mashindano yasiyokuwa na sababu. Ninavyoelewa, sayansi hutusaidia kuelewa undani wa complexity ya maumbile yetu hapa duniani na jinsi mifumo mbalimbali ya asili inavyofanya kazi kwa kufuata sheria na kanuni za asili, basi. Nani aliyeweka sheria na kanuni hizo za asili? - sayansi haiingii huko; bali ndipo masuala ya imani yanapoanzia. Mwanasayansi, kama mtu yeyote, anaweza kuamini au kutoamini katika Mungu kama ndiye msanifu na muundaji mkuu wa universe - na hilo halina uhusiano kabisa na sayansi.

Ni kama vile kuna wakati wahubiri wengi walikuwa wakiishambulia sana elimu kama si lolote wala chochote mbele ya Mungu. Ukichunguza sana utaona kuwa ilikuwa ni inferiority complex ya baadhi yao kwani wengi waliokuwa wakikimbilia utumishi, elimu ilikuwa haba. Sasa siku hizi utakuta wengi wako katika harakati za kujivisha shahada za uzamivu za kila aina na kusisitiza kutambuliwa kama ma-doctor. NA kelele za kushambulia elimu zimepungua.
 
Hakuna mwanasayansi mwenye akili timamu hasa natural thinking ability ambae anaamini the great architecture of the universe hayupo. Hayo ni maneno ya the secret society yaani freemason. G.A.O.U ultimately ni Mungu. Wale wanasayansi waliokariri hadi ubongo ume stack ndo wanaoyumbishayumbisha kuhusu uwepo wa Mungu.

Hata Albert Einstein alikariri? Basi sawa.
 
The truth is we all don't know the truth.

Zamani waliamini na kuandika kuwa Mungu aliumba Mbingu na Nchi. Lakini ikagundulika kisayansi kuwa kuna kitu kinaitwa Universe, na kwamba Dunia haiko peke yake. Who takes care of the other 8 planets so far discovered? The absence of a scientific proof doesn't equate the presence of a Deity.

Faith is not LOGICAL FACTS. Apostle Paul said it better.
 
aisee nimeingia YouTube nimeisikia hiyo sauti.mungu yupo jamani

Kwahiyo siku hizi Mungu anapatikana You tube?

Unavikumbuka vipindi vya mama na mwana Radio Tanzania? Wakati wa hadithi za binti chura ile milio nayo ilitoka kwa Mungu au ilitengenezwa kwenye studio za RTD?

No wonder hii nchi ni maskini kwa sababu ya kuacommodate raia wasio na udadisi.

Sisemi kwamba Mungu hayupo ila napinga Mungu kuthibitishwa uwepo YouTube.
 
Hao wanasayansi walichimba 14.4km from the earth surface na kudhani walitoboa kufikia moto wa kuzimu.
Lakini wanasayansi pia wanasema kuna layers 4 kwenye dunia yetu.
Ntakuwekea hapa chini kisha ujiulize hao warusi walifikia layer gani.
1.crust=0-50km
2.mantle=10-2890km
3.outer core=2890-5150km
4.inner core=5150-6370km(from the earth surface).
Tafakari.
 
Kwahiyo siku hizi Mungu anapatikana You tube?

Unavikumbuka vipindi vya mama na mwana Radio Tanzania? Wakati wa hadithi za binti chura ile milio nayo ilitoka kwa Mungu au ilitengenezwa kwenye studio za RTD?

No wonder hii nchi ni maskini kwa sababu ya kuacommodate raia wasio na udadisi.

Sisemi kwamba Mungu hayupo ila napinga Mungu kuthibitishwa uwepo YouTube.
pole kwa kukurupuka.sijasema mungu yupo youtube niliomba link yenye hizo sauti bahati nzuri nikaikuta video youtube btw sijaanza kuamin kuwa mungu yupo leo hilo nalijua tangu utoto na nimelishika.no wonder wewe ni mjinga kwa sababu yakuparamia hovyo mambo.mimi sikusema mungu yupo youtube.na ikiwa swala ni eti youtube labda ile sauti imetengenezwa basi nipe proof juu ya maandiko matakatifu kwa nini uamini hicho kilichokwenye karatasi.next time usiforce watu wapigwe ban
 
Kwa kauli hii namwomba Mungu ajithibitishe yeye mwenyewe kwako na kwa wengine wasioamini uwepo wake. Afanye hivyo sio kwa utashi wangu mimi binadamu bali kwa utashi wake yeye mwenyewe kama Mungu. Amen.

Hapo alipo amezaliwa bila kupenda, hakutuma maombi wala asikusumbue kukupeleka mbali sana. Yeye anadhani dunia hii ni ya mechanics tu, kumbe sivyo. He is too mechanical!
 
Famous Scientists Who Believed in God
Is belief in the existence of God irrational? These days, many famous scientists are also strong proponents of atheism. However, in the past, and even today, many scientists believe that God exists and is responsible for what we see in nature. This is a small sampling of scientists who contributed to the development of modern science while believing in God. Although many people believe in a "God of the gaps", these scientists, and still others alive today.

  1. Nicholas Copernicus (1473-1543)
  2. Sir Francis Bacon (1561-1627))
  3. Johannes Kepler (1571-1630)
  4. Galileo Galilei (1564-1642)
  5. Rene Descartes (1596-1650)
  6. Blaise Pascal (1623-1662)
  7. Isaac Newton (1642-1727)
  8. Robert Boyle (1791-1867)
  9. Michael Faraday (1791-1867)
  10. Gregor Mendel (1822-1884)
  11. William Thomson Kelvin (1824-1907)
  12. Max Planck (1858-1947)
  13. Albert Einstein (1879-1955)
Kiranga hao ni baadhi ya wana sayansi walioamini uwepo wa Mungu, haimaanishi kwa kuwa wao waliamini basi kila mtu aamini kama wao walivyoamini, ila kwa kuwa unaitumia sayansi kuonyesha Mungu hayupo, wao waliamini yupo.

Source

Famous Scientists Who Believed in God
 
pole kwa kukurupuka.sijasema mungu yupo youtube niliomba link yenye hizo sauti bahati nzuri nikaikuta video youtube btw sijaanza kuamin kuwa mungu yupo leo hilo nalijua tangu utoto na nimelishika.no wonder wewe ni mjinga kwa sababu yakuparamia hovyo mambo.mimi sikusema mungu yupo youtube.na ikiwa swala ni eti youtube labda ile sauti imetengenezwa basi nipe proof juu ya maandiko matakatifu kwa nini uamini hicho kilichokwenye karatasi.next time usiforce watu wapigwe ban

Ban inakujaje hapa son? Usitishie kujamba wakati una uharo jibu hoja acha viroja.

YouTube audio clip si hata mimi naweza kuiweka? Hivi wewe wa wapo?

Kama unahisi nimekuparamia sijui kwa nyuma hayo ni mawazo yako tu son.
 
hoja ipi sijakujibu video ina sura ya dr azzacov.jielewe nimekuuliza,unanikatalia kuwa siwezi nikathibitisha uwepo wa mungu youtube? ikiwa unasema dr azzacov kaongea uongo wale wazee 72 waliokaa na kuikamilisha bible unawaamini? hata hivyo imani ni tunda la moyo wngu hivyo mimi kuamin kwangu kuwa mungu yupo hakukupi dhara lolote tola.ikiwa namthibitisha kuwa yupo kwa kuona tu maandishi kwa nn nishindwe kwa sauti.upumbavu si amali tola
 
Ban inakujaje hapa son? Usitishie kujamba wakati una uharo jibu hoja acha viroja.

YouTube audio clip si hata mimi naweza kuiweka? Hivi wewe wa wapo?

Kama unahisi nimekuparamia sijui kwa nyuma hayo ni mawazo yako tu son.


yaani wewe ni kama mpuuzi ambaye anaropoka tu.mwanzo ulisema no wonder we are poor(you are not one among us maybe you are rich) kwa kuwa na watu wasiowadadisi ulitaka nifanye udadisi gani labda nimtafute dr azzacov then nifanye nae oral interview ama? mr not one among us sioni logic kwenye maneno yako.labda ulitaka nikadrill 14 kms kwenda chini then niweke vinasa sauti? acha ujinga wewe ni jambo lakujiongeza tu wewe mwenye udadisi umegundua kipi juu ya hilo.ikiwa hauna imani na kile nilichosikia hilo halinihusu.jinga kabisa
 
No where on earth mtu anaweza ku justify kutokuwepo kwa Mungu.

similarly no where on earth mtu anaweza kuthibitisha kuwepo kwa mungu!!! justification yake ni kuwepo kwa movu mengi duniani na injustice!!!
 
Kwa hivyo Mungu hasubiri hadi siku ya mwisho ili kuanza kuwahukumu wanadamu na kuwatupa jehanamu kama alivyo ahidi ila ameisha anza kuwachoma sasa du!
 
Back
Top Bottom