Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

Tatizo ni dogo hapa ambalo wengi hawalijua kuhusu huyu kiranga na wenzie...a.k.a walio kariri kuhusu sayansi.
Wanadhani kutuficha sisi majina yao kwa ID fake hapa jf na MMungu hawajui wala hawafahamu.
My dear ebu changamkeni mkatubu fa6 kwasababu huyo Mungu mnae mtania kama vile mpendavyo anakuoneni na akujueni!
Nakuombeeni Kwake awasamehe kwa yale maovu mtendayo na ayageuze yote maovu na kua mema kwenu amen.....

Hujajibu maswali.

Kama mungu mwenye ujuzi wote, upendo wote na uwezo wote yupo.

Kwa nini dunia aliyoiumba ina mabaya mengi sana?

Ina maana alishindwa kuyazuia? Kama alishindwa, je anaweza yote?

Au aliweza kuyazuia ila kayaachia tu? Kama kayaachia tu, je, ana upendo huo unaosemwa kweli?
 
Why did this all powerful god let lucifer did this to his (god's) own creation?

If an all powerful, all knowing and all capable god can let this happen, isn't that his will?

Who am I tobend it and try to act different?

"if an all powerfull,all knowing and all capable god can let this happen isnt that his will" nadhani hautanishtaki kwa kunukuu maneno yako.asiyeamini katika yeye ni mwabudu wa shetani.kama giza ni kutokuwepo kwa mwanga basi evil ni kutokuwepo kwa mungu katika nafsi ya mtu fulani.ukifumba macho yako unaweza kusema kuwa dunia imeingiwa na giza la kutisha si ndivyo? ila ukifumbua macho nuru ile hurudi tna na kuyaangaza macho yako.

Ukisema hayupo ni sawa na kufumba jicho utaona giza tu ila nuru bado inaangaza.
 
"if an all powerfull,all knowing and all capable god can let this happen isnt that his will" nadhani hautanishtaki kwa kunukuu maneno yako.asiyeamini katika yeye ni mwabudu wa shetani.kama giza ni kutokuwepo kwa mwanga basi evil ni kutokuwepo kwa mungu katika nafsi ya mtu fulani.ukifumba macho yako unaweza kusema kuwa dunia imeingiwa na giza la kutisha si ndivyo? ila ukifumbua macho nuru ile hurudi tna na kuyaangaza macho yako.ukisema hayupo ni sawa na kufumba jicho utaona giza tu ila nuru bado inaangaza.

Siwezi kuwa namwabudu shetani, mimi sikubali katika habari zote za supernatural powers, kwa hiyo mauzauza yote kwangu ni sawa.

Shetani, mungu, majini, mitume wanaotembea juu ya maji, vibwengo, vinyamkera, popo bawa, wachawi etc.

Yote hayo ni supernatural powers, supposedly.

Mimi nakataa kwamba kuna kitu supernatural. Ingawa nakubali kwamba hatujui yote yaliyo katika natural world, na pengine yale tunayofikiri kuwa ni supernatural leo, tutakuja kuyaelewa na kuyaona natural kesho, kama vile wahenga wetu ambavyo waliona radi kitu cha ajabu na leo watoto wa shule wanafundishwa radi ni umeme tu.

Kwa hiyo kusema kwamba mimi kwa sababu simuamini mungu namuabudu shetani, ni kutyoelewa kwamba mungu na shetani ni pande mbili za safaru ilele ya mauzauza ya supernatura, mmoja ana rep[resent good, mwingine ana represent evil.

Mimi naikataa sarafu nzima kwamba ni hadithi tu.

Sikubali kwamba kuna mungu wala shetani.

In a way, wewe mwanadamu ndiye mungu na/ au shetani, maana unaweza kuumba na kubonoa, kufanya mazuri na mabaya.

Nimeuliza maswali hapo juu sijajibiwa, naona napata mahubiri tu na mapokeo yasiyo na kufikirisha kichwa.
 
Huo mfano aliotoa jamaa kuhusu nyerere kama kichwa chako ni kizuri umaelewa fasta nini kamaanisha
 
Hakuna kitu hapo! Hiyo ni kawaida unapoingia kwenye sehemu kubwa yenye uwazi ndani ya kuta. Mathalani kwenye Mapango makubwa. Pengine waliweza kutoboa na kufikia sehemu yenye uwazi mkubwa chini ya ardhi!
They owe us a lot of explanation!
 
Na sayansi yote hiyo kwann hawajazuia kufa maana haohao watafiti wengine wanakufa kabla hawaja accomplish mission zao.
Unadhani hamna wanaofanya research za kuendeleza maisha?
Research zipo nyingi tu sema wanachukua step moja moja, kama ambavo zamani waliuliza kwa nini hawajatengeneza njia ya binadamu kupaa sasa wakatoa ndege, same same situation.. Usiwalaumu kutokua na imani na Mungu, laumu walipokulia tu, wewe ni wa dini hiyo bac tu sababu umezaliwa huko na mazingira yamekuzunguka yakikupa proof kua Mungu yupo, wenzako wamezaliwa hizo habari hawana, hata wazazi wao waliwaambia ni uongo, watoto huamini wazazi kuliko mwingine kumbuka... One day kutakua na tissue regeneration, ubongo wataweza kuufanyia activation, cells reproduction wataiaccelerate isiweze kushuka uzeeni ndio utashangaa
 
Kanisa wao ndiyo WABISHI sana kuamini vitu kama EVOLUTION. Na serikali kama za USA, wanatumia sana Kanisa na Waarabu Msikiti ili kuwashika watu kati ya miguu wasifurukute.

Wamekuwa wapinzani sana wa kuwepo kwa SERENA (Mermaids) baharini ila ushahiri sasa umewekwa wazi kuwa wapo na wanatumia silaha kama Binadamu kwenye kuwinda na kujitetea.



Video ya kwanza ipo hapa: "Mermaids: The Body Found" Documentary (Full) - Fact or Fiction? - YouTube
 
Last edited by a moderator:
pole kwa kukurupuka.sijasema mungu yupo youtube niliomba link yenye hizo sauti bahati nzuri nikaikuta video youtube btw sijaanza kuamin kuwa mungu yupo leo hilo nalijua tangu utoto na nimelishika.no wonder wewe ni mjinga kwa sababu yakuparamia hovyo mambo.mimi sikusema mungu yupo youtube.na ikiwa swala ni eti youtube labda ile sauti imetengenezwa basi nipe proof juu ya maandiko matakatifu kwa nini uamini hicho kilichokwenye karatasi.next time usiforce watu wapigwe ban

polepole save your energy..
 
Kanisa wao ndiyo WABISHI sana kuamini vitu kama EVOLUTION. Na serikali kama za USA, wanatumia sana Kanisa na Waarabu Msikiti ili kuwashika watu kati ya miguu wasifurukute.

Wamekuwa wapinzani sana wa kuwepo kwa SERENA (Mermaids) baharini ila ushahiri sasa umewekwa wazi kuwa wapo na wanatumia silaha kama Binadamu kwenye kuwinda na kujitetea.



Video ya kwanza ipo hapa: "Mermaids: The Body Found" Documentary (Full) - Fact or Fiction? - YouTube


Kati ya vitu ambavyo sijafurahishwa na jamaa wa discovery ni pamoja na hilo la kufanya maelfu ya watu kuwa wajinga.
Hiyo video ipo kwenye kundi la "docufiction" yaani wanatengeneza story ionekani kama kweli. Hao unao waona ni actors siyo wataalamu.
That's a hoax mkuu.
Think again.
 
Last edited by a moderator:
kama mtu akiangalia ulimwengu akasema hakuna Mungu, hata akiingia kuzimu kwenyewe bado atasema hakuna Mungu, na atatafuta tu maelezo. Ushahidi ambao mtu anaupata ni pale anapokufa. ndio maana naipenda hii nukuu:
"There are no dead atheists"
 
kama mtu akiangalia ulimwengu akasema hakuna Mungu, hata akiingia kuzimu kwenyewe bado atasema hakuna Mungu, na atatafuta tu maelezo. Ushahidi ambao mtu anaupata ni pale anapokufa. ndio maana naipenda hii nukuu:
"There are no dead atheists"

Kuzimu ni wapi? Ulishawahi kufika? Unaweza kuthibitisha kwamba kupo?
 
Mkuu, sijui kama hata umeiangalia. Naona umeishia tu kusema ni HOAX bila hata ya kuitazama.

Kuna vitu kadhaa ambavyo vinarudia. Ila pia zipo HOAX nyingi sana duniani na ninakubaliana na wewe.

La ajabu moja ni kuwa, mbona hii story inajirudia sehemu nyingi? Ukienda kila sehemu ambapo wameapakana na bahari, story ya SERENA inajirudia. Ukienda kwenye Mapango ya zamani, unaona Mababu zetu wamechora hizo picha. Ina maana zote hizo ni HOAX? Yaani Binadamu wote duniani hata wale hawajuani wamekubaliana wadanganye?

Jaribu kuangalia mbali zaidi Mkuu. Au labda na wewe ni walewale mnaotaka tusiamini katika Evolution.
Kati ya vitu ambavyo sijafurahishwa na jamaa wa discovery ni pamoja na hilo la kufanya maelfu ya watu kuwa wajinga.
Hiyo video ipo kwenye kundi la "docufiction" yaani wanatengeneza story ionekani kama kweli. Hao unao waona ni actors siyo wataalamu.
That's a hoax mkuu.
Think again.
 
Mtangoo. Kama sikosei utakuwa Mtani wangu, Mjukuu au Mtoto wa Mchungaji Mtangoo.

Hii habari huwa inaleta utata sana. Kusema tu uamini inakuwa ngumu sana na hasa ukiangalia viongozi wenyewe wa dini mambo wanayoyafanya siku hizi na hasa Wakatoliki ambao inapokuja kwenye dini, wameshika SIRI nyingi sana kama siyo zote za dini. Hawa jamaa nimekuja kuwaogopa na kuwaheshimu sana. Mfano mdogo ni Piramidi zilizopo duniani na jinsi zilivyojengwa na sehemu zilipojengwa, nyingi hazijajengwa kwa kubahatisha. Zipo pale kwa malengo maalumu.

Ila labda tu mie huwa nakubaliana na wale wanaosema "Heri ufe ukiamini Mungu, usipomkuta, huna ulichokosa kuliko ukafa na kukuta kweli Mungu yupo." Ila sasa hivi Kuzimu si haipo? Inasubiri hadi Yesu arudi ndiyo watu wenye dhambo wapelekwe kule? Au mie naelewa vibaya hii sehemu?
kama mtu akiangalia ulimwengu akasema hakuna Mungu, hata akiingia kuzimu kwenyewe bado atasema hakuna Mungu, na atatafuta tu maelezo. Ushahidi ambao mtu anaupata ni pale anapokufa. ndio maana naipenda hii nukuu:
"There are no dead atheists"
 
Tatizo ni dogo hapa ambalo wengi hawalijua kuhusu huyu kiranga na wenzie...a.k.a walio kariri kuhusu sayansi.
Wanadhani kutuficha sisi majina yao kwa ID fake hapa jf na MMungu hawajui wala hawafahamu.
My dear ebu changamkeni mkatubu fa6 kwasababu huyo Mungu mnae mtania kama vile mpendavyo anakuoneni na akujueni!
Nakuombeeni Kwake awasamehe kwa yale maovu mtendayo na ayageuze yote maovu na kua mema kwenu amen.....


I have always learnt alot from Kiranga, and still i'm taking lots of pieces from him...

Being an atheist or having agnoistic perspectives doesn't directly mean that the certainty of god's presence is absolutely nothing, sio kwamba najaribu kushikamana na Kiranga, so far what i'm doing is just trying to show what we're to axpect from him/her....

Lets assume, siku tupo pale uwanja wa taifa tunangojea game lianze, mara mwanga wenye nguvu kali ukapiga kutoka angani, then akashuka njiwa mweupe mwenye mlio mkubwa sana akiimba kwa sauti nyororo za kumsifu mungu, ghafla akatokea mtu mwenye kung'aa sana akaanza kunena maneno ya kiroho <mimi ndimi bwana wako, yeyote atakayenikimbilia atapata uzima wa kudumu, yakupasa utoe nusu ya mali zako na kuziteketeza kwa moto kama sadaka kwangu>, halafu hilo tukio likaisha ghafla...
Enhe, nini utafanya;-
A&#9733;je utaanza kukagua mali zako ili uanze kuziteketeza kama alivyodai, ili upate uzima wa milele...???
B&#9733;je utahitaji kupata ufafanuzi zaidi kuhusu huyo mungu, yeye ni mtu/kitu cha aina gani,yupoje, anafanya mambo yake kwa mfumo upi, how he exist and existed na kwanini tuishi kwa matakwa yake...???

Kama jibu lako ni (a) basi yapaswa umpe Kiranga maelezo yakinifu as to why you leaped to that clumsy desperate conclusion...
Kama jibu lako ni (b) basi hutofautiani na Kiranga you're a faint blunted atheist, in a way that unapaswa ujiulize maswali mengi zaidi ya hayo machache ambayo Kiranga anaulizaga....
 
Last edited by a moderator:
Mtangoo. Kama sikosei utakuwa Mtani wangu, Mjukuu au Mtoto wa Mchungaji Mtangoo.

Hii habari huwa inaleta utata sana. Kusema tu uamini inakuwa ngumu sana na hasa ukiangalia viongozi wenyewe wa dini mambo wanayoyafanya siku hizi na hasa Wakatoliki ambao inapokuja kwenye dini, wameshika SIRI nyingi sana kama siyo zote za dini. Hawa jamaa nimekuja kuwaogopa na kuwaheshimu sana. Mfano mdogo ni Piramidi zilizopo duniani na jinsi zilivyojengwa na sehemu zilipojengwa, nyingi hazijajengwa kwa kubahatisha. Zipo pale kwa malengo maalumu.

Ila labda tu mie huwa nakubaliana na wale wanaosema "Heri ufe ukiamini Mungu, usipomkuta, huna ulichokosa kuliko ukafa na kukuta kweli Mungu yupo." Ila sasa hivi Kuzimu si haipo? Inasubiri hadi Yesu arudi ndiyo watu wenye dhambo wapelekwe kule? Au mie naelewa vibaya hii sehemu?

Kuzimu haipo? Kwani according to bible Yesu alipokufa sikutatu alienda wapi? Nanukuu "akafa,akazikwa, akashuka kuzimu siku ya tatu akafufuka katika wafu,akapaa mbinguni"haya ni maneno yanayotoka sehemu tofauti katika bible so kuzimu kulikuwepo ht kabla Yesu hajafa.
 
Hii hadithi nzima imekaa kilokole-lokole
Pili WaSiberia wenyewe hawakushtuka kama walivyokuja kipaaza (Exageration) wa Finnish mwisho wanasema 'hawasemi km ni UONGO au ni UKWELI bali muaumuzi ni wewe msomaji. Mimi naamini kuna KUZALIWA na KUFA hivyo kuna PARADISO na MOTONI na YEHOVA muumba wa yote yupo jamani

If there really is no Hell, then where do unrepentant sinners go when they die? Do you think YAHUVEH would let them into Heaven?

Please Note: There has been much debate whether this is real or not. We are not saying it is real or not but we feel it is important enough to post it and let you the reader decide.] These details are from the translation of an article in a Finnish newspaper named 'Ammennusatia and within three days, a military helicopter arrived at the remote drilling outpost with the special camera, which was identical to a space-probe camera that had been designed to withstand the phenomenal heat of Venus.

The camera was lowered down the shaft for over an hour and switched on. According to the incredible account signed both by Azzakov and an aeronautics engineer from the space centre, shimmering pictures of people silhouetted against glowing rocks could be seen. The figures were motionless, and laying about on the incandescent rocks.

Every few minutes a bright light was seen to move among them, but the light was always out of focus, and seemed to be under intelligent control. The harrowing scenes were allegedly videotaped, but three minutes into the tape, the camera malfunctioned and the microphone melted.
 
Back
Top Bottom