Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

Vipande vya gazeti is not reliable source, naamini kile ninachoona kinaleta mantiki kwangu, sijawahi kuona jini, wala uchawi, hao wanasayansi nao ni binadamu kama mimi wana imani kama mimi wana ujasiri na uoga kama mimi, ni bora uamini kile unachoamini kuliko kuaminishwa anachoamini mwingine
 
nilidhani baada ya kusoma uzi huu ningemkuta Kiranga kalegeza msimamo wa kutoamini uwepo wa MUNGU, kumbe wapi.namuonea huruma sana.ila nina imani ipo siku aliye na mamlaka kuu kushinda zote,atajidhihirisha kwake kwa namna atakayo jichagulia.praise the lord and say AMEN

Uzi huu una kipya kipi?

Wanasayansi wamekuwa wakiamini kuwepo kwa m,ungu tangu enzi za Newton, Galileo, Ptolemy, Archimedes na Aristotle.

Again, kuamini unaruhusiwa kuamini chochote, tuambie unachoweza ku prove.

Sayansi inajali kama ukweli unachoweza ku prove, sio unachoamini.
 
Kama yupo ameshindwa kufanya hivyo for the last 20 years.

Bwana Kiranga, kwanza nimefurahi kwamba 'you are honest in your heart', you speak out the truth that is in your heart and mind, na kwamba hauamini uwepo wa Mungu kama 'bendera fuata upepo'. My kudos to you for that.

Now I hereby request you to do one small thing and then forget about it. This small thing will not cost you more than 3 minutes. Just be honest once again, speak out from your heart and mind words similar to this, GOD, IF YOU REALLY EXIST, SOMEHOW MAKE ME KNOW IT. After that, forget about it and keep believing that God does not exist. God, if He exists, will make you know it, just as you know that 2+2 is 4. It doesn't matter whether it takes your lifetime to know. God pays the same wages to those He hires in the morning and those He hires in late evening. You may inform me if you spoke the words I proposed.
 
Last edited by a moderator:
Kuna dhana ya ajabu iliyoenezwa na baadhi ya wahubiri makanisani kwamba wanasayansi hupingana na uwepo wa Mwenyenzi Mungu. Huwa nachukulia hali hiyo ni kutokana na kukosa elimu ya uhakika na, hivyo, kuanzisha mashindano yasiyokuwa na sababu. Ninavyoelewa, sayansi hutusaidia kuelewa undani wa complexity ya maumbile yetu hapa duniani na jinsi mifumo mbalimbali ya asili inavyofanya kazi kwa kufuata sheria na kanuni za asili, basi. Nani aliyeweka sheria na kanuni hizo za asili? - sayansi haiingii huko; bali ndipo masuala ya imani yanapoanzia. Mwanasayansi, kama mtu yeyote, anaweza kuamini au kutoamini katika Mungu kama ndiye msanifu na muundaji mkuu wa universe - na hilo halina uhusiano kabisa na sayansi.

Ni kama vile kuna wakati wahubiri wengi walikuwa wakiishambulia sana elimu kama si lolote wala chochote mbele ya Mungu. Ukichunguza sana utaona kuwa ilikuwa ni inferiority complex ya baadhi yao kwani wengi waliokuwa wakikimbilia utumishi, elimu ilikuwa haba. Sasa siku hizi utakuta wengi wako katika harakati za kujivisha shahada za uzamivu za kila aina na kusisitiza kutambuliwa kama ma-doctor. NA kelele za kushambulia elimu zimepungua.

For the umpteenth umpteenth time (I passed the umpteenth umpteen times ago).

The argument from complexity is self defeatist from the point of view of theists.

Ultimately it would require god to be created by his god, and his god to be created by his god, and his god to be created by his god, ad infinitum, ad absurdum.

Nimeliandika hili kama mara mia moja na zaidi sasa.

Hivi watu wanasoma na kuelewa ninachoandika au wengine kinawapita juu ya vichwa tu?
 
Bwana Kiranga, kwanza nimefurahi kwamba 'you are honest in your heart', you speak out the truth that is in your heart and mind, na kwamba hauamini uwepo wa Mungu kama 'bendera fuata upepo'. My kudos to you for that.

Now I hereby request you to do one small thing and then forget about it. This small thing will not cost you more than 3 minutes. Just be honest once again, speak out from your heart and mind words similar to this, GOD, IF YOU REALLY EXIST, SOMEHOW MAKE ME KNOW IT. After that, forget about it and keep believing that God does not exist. God, if He exists, will make you know it, just as you know that 2+2 is 4. It doesn't matter whether it takes your lifetime to know. God pays the same wages to those He hires in the morning and those He hires in late evening. You may inform me if you spoke the words I proposed.

I did this small thing 20 years ago.

To no avail, todate.

And 2 + 2 is not necessarily 4.
 
Kusema wanasayansi waanza kukubali uwepo wa Mungu its a lie, infact unaenda kinyume kabisa, siku hizi scientist wengi sana ni atheists tena namba inazidi kuongezeka, wamezidi kuform groups kwenye media mbalimbali kuungana, angalia hata kickstarter watu walivyofund campaign ya kuweka satan monument Oklahoma just to piss off Christians.

Science inavyozidi kuimprove ndivyo watu imani kwa Mungu inaanza kupungua, imagine 2020 watu wataweza kwenda Mars, imagine Hyperloop transportation ikitengenezwa unatoka Dar hadi Dubai kwa masaa mawili, au Dar Mwanza kwa dakika kama kumi na tano, thorium energy unaweka kwenye gari inakaa miaka 100 bila kuweka mafuta.. yote ni vitu viko kwenye development na watu wana prototypes ambazo zinaweza fanya kazi, huoni binadamu atafika hatua anafanya vitu ambavyo wengi watasema Mungu hakuna kabisa.

Subiri wakikupatia anti-aging medicine ndio utakapochoka...
 
Famous Scientists Who Believed in God
Is belief in the existence of God irrational? These days, many famous scientists are also strong proponents of atheism. However, in the past, and even today, many scientists believe that God exists and is responsible for what we see in nature. This is a small sampling of scientists who contributed to the development of modern science while believing in God. Although many people believe in a "God of the gaps", these scientists, and still others alive today.

  1. Nicholas Copernicus (1473-1543)
  2. Sir Francis Bacon (1561-1627))
  3. Johannes Kepler (1571-1630)
  4. Galileo Galilei (1564-1642)
  5. Rene Descartes (1596-1650)
  6. Blaise Pascal (1623-1662)
  7. Isaac Newton (1642-1727)
  8. Robert Boyle (1791-1867)
  9. Michael Faraday (1791-1867)
  10. Gregor Mendel (1822-1884)
  11. William Thomson Kelvin (1824-1907)
  12. Max Planck (1858-1947)
  13. Albert Einstein (1879-1955)
Kiranga hao ni baadhi ya wana sayansi walioamini uwepo wa Mungu, haimaanishi kwa kuwa wao waliamini basi kila mtu aamini kama wao walivyoamini, ila kwa kuwa unaitumia sayansi kuonyesha Mungu hayupo, wao waliamini yupo.

Source

Famous Scientists Who Believed in God

Huhitaji kunitajia majina ya wanasayansi walioamini kuwepo kwa mungu, mimi ni mwanafunzi wa historia ya sayansi, na nimeshatoa majina ya wanasayansi walioamini uwepo wa munguhapo awali.

This was the zeitgeist of the time. Kuna wakati wanasayansi pia waliamini kwamba the heavenly bodies are held together by Ptolemaic spheres. That did not make this belief to be the truth.

Kuna wakati wanasayansi waliamini kwamba dhahabu inaweza kutengenezwa kutoka risasi, katika enzi za alchemy.

That does not make that a truth.

Kuna wakati wanasayansi waliamini kwamba vitu vyenye uzito tofauti, ukiondoa air resistance, vitadondoka kwa kasi tofauti, kwa sababu mtu mmoja very influential aliyeitwa Aristotle aliandika hivyo. Wanasayansi wakaamini hivyo kwa karibu miaka 2,000. Nani am challenge Aristotle, mwanafunzi wa Socrates, mwalimu wa Alexander The Great, gwiji na falsafa ?

Guess what, Galileo finally did, and Aristotle was proven wrong in this.

What is the moral of the story? hanari hii inatufundisha nini?

Usikubali kitu kwa sababu mtume fulani kasema, au kwa sababu mwanasayansi fulani kasema. Kwa sababu hata huyo mtume anaweza kuwa kakosea, kwa sababu hata huyo mwanasayansi anaweza kuwa kakosea.

Chunguza kila kitu kwa upana na urefu.

Ndiyo maana mpaka leo, Einstein's General and Special theory of relativity imekuwa proven kwa karibu miaka 100, kuanzia majaribio ya Sir Arthur Eddington kwenye eclipse ya 1919. Zimekuwa proved right over and over again, zimetupa GPS na mengine mengi, lakini mpaka leo kuna watu wanachunguza ukweli kuhusu relativity. Wanataka kui debunk in some however small ways in order to make headways into the next level of granularity, just as Einstein debunked Newton in some subsection (relativistic speeds) na kuonesha kwamba kanuni za Newton hazifai, na za relativity zinafaa zaidi katika speeds hizo.

Einstein na wenzake wagunduzi wote wangesema "Newton ni mwanasayansi mkubwa sana, siwezi kumpinga". Mpaka leo tungekuwa tunasukuma matoroli na tusingepata GPS.

Unanitaka niabudu mitume katika sayansi?

Unachanganya sayansi na dini.

Sayansi haina mitume.
 
Mnakufuru sana ila pindi mauti yatakapowakuta mtajuta
 
If you did it, then forget about it. Thank you for letting me know.

Yeah, I have to emphasize, 20 years ago.

And the more time I spend thinking about it, the more I see that the idea that a personal, all knowing, all capable, all loving god exists is just about the most ridiculous idea this world has ever produced.
 
Tatizo ni dogo hapa ambalo wengi hawalijua kuhusu huyu kiranga na wenzie...a.k.a walio kariri kuhusu sayansi.
Wanadhani kutuficha sisi majina yao kwa ID fake hapa jf na MMungu hawajui wala hawafahamu. My dear ebu changamkeni mkatubu fa6 kwasababu huyo Mungu mnae mtania kama vile mpendavyo anakuoneni na akujueni!

Nakuombeeni Kwake awasamehe kwa yale maovu mtendayo na ayageuze yote maovu na kua mema kwenu amen.....
 
Kusema wanasayansi waanza kukubali uwepo wa Mungu its a lie, infact unaenda kinyume kabisa, siku hizi scientist wengi sana ni atheists tena namba inazidi kuongezeka, wamezidi kuform groups kwenye media mbalimbali kuungana, angalia hata kickstarter watu walivyofund campaign ya kuweka satan monument Oklahoma just to piss off Christians..
Science inavyozidi kuimprove ndivyo watu imani kwa Mungu inaanza kupungua, imagine 2020 watu wataweza kwenda Mars, imagine Hyperloop transportation ikitengenezwa unatoka Dar hadi Dubai kwa masaa mawili, au Dar Mwanza kwa dakika kama kumi na tano, thorium energy unaweka kwenye gari inakaa miaka 100 bila kuweka mafuta.. yote ni vitu viko kwenye development na watu wana prototypes ambazo zinaweza fanya kazi, huoni binadamu atafika hatua anafanya vitu ambavyo wengi watasema Mungu hakuna kabisa.. Subiri wakikupatia anti-aging medicine ndio utakapochoka...

Na sayansi yote hiyo kwann hawajazuia kufa maana haohao watafiti wengine wanakufa kabla hawaja accomplish mission zao.
 
Na sayansi yote hiyo kwann hawajazuia kufa maana haohao watafiti wengine wanakufa kabla hawaja accomplish mission zao.

Kuna jamaa wao anaitwa istkov kutoka Russia anasema before 2045 tayari atakuwa na maisha ya milele
 
yaani wewe ni kama mpuuzi ambaye anaropoka tu.mwanzo ulisema no wonder we are poor(you are not one among us maybe you are rich) kwa kuwa na watu wasiowadadisi ulitaka nifanye udadisi gani labda nimtafute dr azzacov then nifanye nae oral interview ama? mr not one among us sioni logic kwenye maneno yako.labda ulitaka nikadrill 14 kms kwenda chini then niweke vinasa sauti? acha ujinga wewe ni jambo lakujiongeza tu wewe mwenye udadisi umegundua kipi juu ya hilo.ikiwa hauna imani na kile nilichosikia hilo halinihusu.jinga kabisa

Wewe ni nembo ya ujinga na ni mzigo kwa familia yako na Taifa.
 
Wewe ni nembo ya ujinga na ni mzigo kwa familia yako na Taifa.

Mi nilishalimaliza as long as ujinga wangu haukuumizi acha nijibebee zigo langu.but kutumia werevu wako kwa njia iliyobora hakutoi uhai mr.Not one among us.busara plus werevu wako vingefaa kunifanya niwe mwerevu kama wewe ila matusi yako yanajenga Berlin wall kwa kuerevuka kwangu.

Lastly naseek reconciliation ni jioni hii usiku ni mrefu and i believe in him maybe naweza kufumba bila kufumbua tena.tchao matola THE CIVILIZED,wealthier Tanzanian
 
Yeah, I have to emphasize, 20 years ago.

And the more time I spend thinking about it, the more I see that the idea that a personal, all knowing, all capable, all loving god exists is just about the most ridiculous idea this world has ever produced.

Worry not Kiranga, the god of this world (satan/lucifer) has blinded our minds (2 Cor 4:4) that we cannot know/see God, lucifer/satan put a veil (a cover) on the eyes of our minds and only Christ/God can take the veil away (2 Cor 3:14), When God destroys the veil then we can see. No human can destroy that veil by himself, no one. God does it all by himself, this is the salvation by grace-i.e. by God's help, it's not by human effort.

Relax Kiranga, God can do it to you as He did it to me and others. He is very, very powerful and He is never in a hurry to save people.
 
Last edited by a moderator:
Worry not Kiranga, the god of this world (satan/lucifer) has blinded our minds (2 Cor 4:4) that we cannot know/see God, lucifer/satan put a veil (a cover) on the eyes of our minds and only Christ/God can take the veil away (2 Cor 3:14), When God destroys the veil then we can see. No human can destroy that veil by himself, no one. God does it all by himself, this is the salvation by grace-i.e. by God's help, it's not by human effort.

Relax Kiranga, God can do it to you as He did it to me and others. He is very, very powerful and He is never in a hurry to save people.

Why did this all powerful god let lucifer did this to his (god's) own creation?

If an all powerful, all knowing and all capable god can let this happen, isn't that his will?

Who am I tobend it and try to act different?
 
Na sayansi yote hiyo kwann hawajazuia kufa maana haohao watafiti wengine wanakufa kabla hawaja accomplish mission zao.

Kuzuia kufa hakuthibitishi kutokuwapo kwa mungu, hata wangezuia kufa, na kufa kungeonekana ni kimbilio kwa maisha yasiyoisha, ungeweza kuuliza kwa nini hawajashindwa kuzuia kufa.

Prove kwamba mungu yupo.
 
Back
Top Bottom