Wana Simba SC Wenzangu naomba taratibu tulipitie lile Goli la Fred jana hivi Kweli hata Wewe ungekuwa Kipa usingeudaka au hata tu Kuupangua ule Mpira?

Wana Simba SC Wenzangu naomba taratibu tulipitie lile Goli la Fred jana hivi Kweli hata Wewe ungekuwa Kipa usingeudaka au hata tu Kuupangua ule Mpira?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Anyways nimeelewa kwani ili TFF na Serikali iongeze Mapato ni lazima Klabu Bingwa ziende Timu MbilI Kubwa ili Mapato yapatikane Makubwa lakini pia Kuchangamsha nchi kwani kama mwakani Timu ikiwa moja halafu tena ina DNA na CCM (Serikali) Mashabiki wa Timu nyingine watapata Hasira na Kuathiri Kura japo tuna Uzoefu wa Kuiba.

Nakuomba tena tuliza Kichwa chako kisha litazame lile Goli kisha njoo hapa niambie je, Wewe usingedaka au kupangua?

Shikamoo Airtel Money Kudadadeki.
 
Anyways nimeelewa kwani ili TFF na Serikali iongeze Mapato ni lazima Klabu Bingwa ziende Timu MbilI Kubwa ili Mapato yapatikane Makubwa lakini pia Kuchangamsha nchi kwani kama mwakani Timu ikiwa moja halafu tena ina DNA na CCM (Serikali) Mashabiki wa Timu nyingine watapata Hasira na Kuathiri Kura japo tuna Uzoefu wa Kuiba.

Nakuomba tena tuliza Kichwa chako kisha litazame lile Goli kisha njoo hapa niambie je, Wewe usingedaka au kupangua?

Shikamoo Airtel Money Kudadadeki.
Mimi japo sio simba lakini naunga mkono simba wapewe magoli washike namba 2
 
Back
Top Bottom