Wana Simba SC wenzangu nawaomba sana tujiandae 'Kisaikolojia' kwa Mchezo wa Leo dhidi ya Azam FC kwa Mkapa

Hakuna kitu, aliweka matokeo yote ya kiwanjani, Cha msingi zaidi alitoa tahadhali sio utabiri
HATERS hawatakosekana Kwangu ila Mwenyezi Mungu pekee ndiyo anajua ni kwanini alinifanya GENTAMYCINE kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer JamiiForums na Duniani.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE Kudadadeki.....!!
 
Leo kwa mara ya kwanza naona unamsifia Genta , maajabu sana .
Kachoka KUNICHUKIA na KUNIDHALILISHA kutwa baada ya Mwenyezi Mungu kumthibitishia kuwa HANIWEZI na kamwe hapa JamiiForums sina Mpinzani hasa huku Jukwaa la Michezo.
 
Aliyetoa mawazo ya kubadilisha uwanja kwa ajili ya mchezo huu alaaniwe kabisa.
 
Sina omani kabisa na msemqji sitarajii kombw lolote simba
 
Sina omani kabisa na msemqji sitarajii kombw lolote simba
Niliposema hapa JamiiForums tena zaidi ya mara Mbili kwa Kujiamini kabisa kuwa Ahmed Ally ni mwana Yanga SC 100% na Kirusi hatari ndani ya Simba SC yetu si mlinikatalia na mpaka Kunitukana?

Na bado........!!!!!!!
 
Sijaona utabiri wowote mimi zaidi ya tahadhari. Maana umezungumzia matokeo yote matatu tena ukasema inaweza tokea sare ya kufungana au kutokufungana. Kwani kuna sale zaidi ya hizo?

By the way, umeshasema kuwa msiposhinda leo, basi msahau kuhusu ubingwa.....hili halina uhalisia maana ligi bado haitabiliki
 
Ukishasikia kuwa Mimi ni Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer unategemea nini Mkuu?
umetisha kaka japo sijapenda yaani ngoma na zimbwe jau tupu. Anyway ndio ukomavu unaendelea kuingia kwa team nzima.
 
HATERS hamtakosekana duniani na nashukuru Mwenyezi Mungu anawaumbua Kutwa kupitia Vipawa vyangu vingi alivyonikirimia navyo / alivyonipa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE Kudadadeki...!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…