Wana Simba SC wenzangu nawaomba sana tujiandae 'Kisaikolojia' kwa Mchezo wa Leo dhidi ya Azam FC kwa Mkapa

Wana Simba SC wenzangu nawaomba sana tujiandae 'Kisaikolojia' kwa Mchezo wa Leo dhidi ya Azam FC kwa Mkapa

Simba SC bingwa Msimu huu kwa 99% Mkuu. Nakuomba tunza hii post yangu sawa? Mchezo pekee wa kutuumiza Kichwa ni huu wa leo dhidi ya Azam FC ila Mechi yetu ya tarehe 8 Machi, 2025 nanyi Yanga SC kwa 75% Simba SC itashinda na kwa 25% zitatoka Suluhu au Sare na kuna Mechi moja (baada ya Kumaliza Kucheza na Simba SC) ya Ligi Kuu ya NBC Yanga SC yako ama itatoa Sare au Suluhu au hata Kufungwa pia.

Nasisitiza tena tunza hii post yangu sawa?
Ni kweli kama mwamuzi ni kaa yule wa namungo!?
 
Waliojiandaa kisaikolojia wako salama ila akina wale wenzangu wabishi nadhani wameamkia ICU.
 
20250224_210243.jpg
 
Back
Top Bottom