Wana Yanga SC wakiongozwa nami tunahoji mbona Skudu Makudubela kaachwa Yanga SC kimya kimya wakati aliletwa nchini kwa Mbwembwe na Kufuru zote?

Wana Yanga SC wakiongozwa nami tunahoji mbona Skudu Makudubela kaachwa Yanga SC kimya kimya wakati aliletwa nchini kwa Mbwembwe na Kufuru zote?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Rais wa Yanga SC Hersi nimethibitishiwa kuwa si tu Unanisoma hapa JF, bali pia Unanifolo hivyo nakuomba unijibu upesi.
 
Wenye akili ni wawili tu kule waliobakia wote hamnazo
1000247223.jpg
 
Hayo umesema wewe, na unatafuta ugomvi wa ngumi na mzee wa kitengo GENTAMYCINE , sasa hivi kapewa mission huko Uganda na ni siri ila nashare na wewe tu japa jf (kuhakikisha M7 haleti tafrani EAC)
Na nakuongezea nikimaliza hii Mission naenda Rwanda kuifanya nyingine kisha narudi tena Tanzania kumaliza Kazi rasmi.
 
Hapo ndipo unaharibu Genta ww no talented charismatic anointed one hupaswi kutoa lugha. chafu
Na hao / huyo wanaonianza / anayenianza Kutwa kunichokoza, kunitukana na kunidhalilisha una Neno gani Kwake? Mnafiki mkubwa Wewe hebu nitokee hapa. au unadhani sijui kuwa hii ni ID yako nyingine umekuja nayo Kuzuga kwa kujifanya Unanikubali huku ukionyesha kuwa Mimi ni Mkorofi, Mkosaji na nina Matusi hapa? Huna Akili.

Nimewavumilieni vya kutosha.
 
Na hao / huyo wanaonianza / anayenianza Kutwa kunichokoza, kunitukana na kunidhalilisha una Neno gani Kwake? Mnafiki mkubwa Wewe hebu nitokee hapa. au unadhani sijui kuwa hii ni ID yako nyingine umekuja nayo Kuzuga kwa kujifanya Unanikubali huku ukionyesha kuwa Mimi ni Mkorofi, Mkosaji na nina Matusi hapa? Huna Akili.

Nimewavumilieni vya kutosha.
This is a very serious case
 
Back
Top Bottom