GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Rais wa Yanga SC Hersi nimethibitishiwa kuwa si tu Unanisoma hapa JF, bali pia Unanifolo hivyo nakuomba unijibu upesi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye akili ni wawili tu kule waliobakia wote hamnazo View attachment 3253234
🤣🤣🤣🤣Ukiwahishwa unapona.
Umewaza kama mimi mkuuUkiwahishwa unapona.
007 una maanisha mtoa mada ni chenga?Ukiwahishwa unapona.
Kuwa Wewe ni Mwanaume wa Kinondoni Mkwajuni au?Umewaza kama mimi mkuu
Nope wa Bunda vijijiniKuwa Wewe ni Mwanaume wa Kinondoni Mkwajuni au?
Kama yeye.007 una maanisha mtoa mada ni chenga?
Aliko Basha wako.Nope wa Bunda vijijini
Hayo umesema wewe, na unatafuta ugomvi wa ngumi na mzee wa kitengo GENTAMYCINE , sasa hivi kapewa mission huko Uganda na ni siri ila nashare na wewe tu japa jf (kuhakikisha M7 haleti tafrani EAC)007 una maanisha mtoa mada ni chenga?
Na nakuongezea nikimaliza hii Mission naenda Rwanda kuifanya nyingine kisha narudi tena Tanzania kumaliza Kazi rasmi.Hayo umesema wewe, na unatafuta ugomvi wa ngumi na mzee wa kitengo GENTAMYCINE , sasa hivi kapewa mission huko Uganda na ni siri ila nashare na wewe tu japa jf (kuhakikisha M7 haleti tafrani EAC)
Watu wa kanda ya ziwa banaAliko Basha wako.
Wanakotoka Mabasha zako.Watu wa kanda ya ziwa bana
Hapo ndipo unaharibu Genta ww no talented charismatic anointed one hupaswi kutoa lugha. chafuWanakotoka Mabasha zako.
Na hao / huyo wanaonianza / anayenianza Kutwa kunichokoza, kunitukana na kunidhalilisha una Neno gani Kwake? Mnafiki mkubwa Wewe hebu nitokee hapa. au unadhani sijui kuwa hii ni ID yako nyingine umekuja nayo Kuzuga kwa kujifanya Unanikubali huku ukionyesha kuwa Mimi ni Mkorofi, Mkosaji na nina Matusi hapa? Huna Akili.Hapo ndipo unaharibu Genta ww no talented charismatic anointed one hupaswi kutoa lugha. chafu
This is a very serious caseNa hao / huyo wanaonianza / anayenianza Kutwa kunichokoza, kunitukana na kunidhalilisha una Neno gani Kwake? Mnafiki mkubwa Wewe hebu nitokee hapa. au unadhani sijui kuwa hii ni ID yako nyingine umekuja nayo Kuzuga kwa kujifanya Unanikubali huku ukionyesha kuwa Mimi ni Mkorofi, Mkosaji na nina Matusi hapa? Huna Akili.
Nimewavumilieni vya kutosha.