Wana Yanga SC wakiongozwa nami tunahoji mbona Skudu Makudubela kaachwa Yanga SC kimya kimya wakati aliletwa nchini kwa Mbwembwe na Kufuru zote?

Wana Yanga SC wakiongozwa nami tunahoji mbona Skudu Makudubela kaachwa Yanga SC kimya kimya wakati aliletwa nchini kwa Mbwembwe na Kufuru zote?

Pa jobe tuliambiwa ni bonge la straika balaa😂!!,Kwani amekuaga?.
Perfect Chikwende alikuaga wewe?, Saido alikuwaga wewe?. Tatizo lako unamuwaza AZIZI let sana baada ya Mobetto kukunyang'anya.😃
 
Back
Top Bottom