Wana Yanga SC Wenzangu MINOCYCLINE nimeshamaliza Kazi, twendeni kwa Mkapa Simba SC anafungwa 4 kwa 1

Wana Yanga SC Wenzangu MINOCYCLINE nimeshamaliza Kazi, twendeni kwa Mkapa Simba SC anafungwa 4 kwa 1

Huwa naambia watu Genta sio shabiki wa Simba wanakataa. Haya Sasa.
 
Tanzania Timu ni moja tu nayo ni Yanga SC na zilizobaki ni Upuuzi mtupu.

Sijaona Klabu yoyote ile Tanzania ya kumzuia Aucho, Pakome na Zengeli.

Kuna Member Mmoja maarufu sana hapa Jamiiforums ( mwana Simba SC ) nadhani anaitwa GENTAMYCINE namvizia sana kwani amezidi Kutamba na Kuichafua Simba SC ila kwa Kipigo cha Jumapili atanyamaza na kuivulia Kofia kabisa Yanga SC.
Kweli tatizo la afya ya akili ni kubwa sana
 
Tanzania Timu ni moja tu nayo ni Yanga SC na zilizobaki ni Upuuzi mtupu.

Sijaona Klabu yoyote ile Tanzania ya kumzuia Aucho, Pakome na Zengeli.

Kuna Member Mmoja maarufu sana hapa Jamiiforums ( mwana Simba SC ) nadhani anaitwa GENTAMYCINE namvizia sana kwani amezidi Kutamba na Kuichafua Simba SC ila kwa Kipigo cha Jumapili atanyamaza na kuivulia Kofia kabisa Yanga SC.
we kazi unaimalizaje?
 
Huyu jamaa ni chizi hata mtoto mdogo hawezi kufanya huu ujinga, Popoma anapitia changamoto za kiakili maana huu ni ukichaa
 
Tanzania Timu ni moja tu nayo ni Yanga SC na zilizobaki ni Upuuzi mtupu.

Sijaona Klabu yoyote ile Tanzania ya kumzuia Aucho, Pakome na Zengeli.

Kuna Member Mmoja maarufu sana hapa Jamiiforums ( mwana Simba SC ) nadhani anaitwa GENTAMYCINE namvizia sana kwani amezidi Kutamba na Kuichafua Simba SC ila kwa Kipigo cha Jumapili atanyamaza na kuivulia Kofia kabisa Yanga SC.
,
JamiiForums2071048328.jpg
 
Yanga hawawezi kuifunga Simba 4-0 au 3-0 kwasababu wakifunga magoli mawili tu wataanza kupiga visigino, kanzu na mbwembwe nyingine nyingi. Wachezaji wa Yanga wakishangiliwa sana huwa wanachanganyikiwa wanaanza kufanya mambo ya ajabu.
Ni kweli
 
Back
Top Bottom