Wanaccm wenzangu tambueni takwa la katiba Sio la CHADEMA ni la wananchi na wenye nchi ambao hata Mwenyekiti anawajibika kwao

Aiseeee !!!
 
we kijana unabii uliupatia wapi ?
Katiba mpya ni agizo la Dola Sio matakwa ya mbowe na CHADEMA! Mbowe na CHADEMA wanatumiwa na Dola kufanikisha Hilo!!
Sasa wahuni ndani ya ccm walidhani wanaweza ku twist mchakato!
Nikawaonya wakaonyeka Sasa wametubu na kurudi Relini!!
 
uoga wako ni furaha ya CCM...

hao unao waita wana siasa, katiba imetamka wazi kuwa madaraka wana yapata kutoka kwa wananchi... yani madaraka waliyo nayo ni wenye nchi (wananchi) wameamua...

akili zako kubwa lakini ni bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…