Wanachadema ripoti ya CAG hamuioni? Mbona hatusikii mkinanga juu ufisadi kama ilivyokuwa huko nyuma?

Wanachadema ripoti ya CAG hamuioni? Mbona hatusikii mkinanga juu ufisadi kama ilivyokuwa huko nyuma?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Tunaihitaji kujijenga Chama na kutibu majeraha yaliyosababishwa na maharamia wa democrasia,punde Chama kitapona kabisa na Kila kituo kitapata Kasi mara kumi zaidi ya Kasi ya awali🤔
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Jiwe hadi sasa hatujui 1.5trillion alizifanyia nini
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za Atcl na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Hawa walituchelewesha sana kimaendeleo. Bora wakae hivyo hivyo kimya watatuharibia. Si unaona CAG kasema wametumia milioni 9 kinyume cha utaratibu? Yaani milioni 9 zote wametumia tu? Milioni 9????
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
20220414_074923.jpg
 
Mama kashatuambia tule kwa urefu wa kamba.

Sisi ni nani hata tumpinge?

Nani kama mama?

Mama endelea kuupiga mwingi. Sisi tutakupa mitano tena, utake usitake.
Acha kupotosha,maana ni kuwa kama weye wa tembele,usilazimishe mchuzi wa kuku.kusema hivyo haimaanishi ni ruhusa ya kuiba ili uweze kupata mchuzi wa kuku🤭
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Hiyo kazi tumewaachia ccm. Wao si ndiyo wapinzani. Au huwaoni kina Mpina?
 
Back
Top Bottom