Wanachadema ripoti ya CAG hamuioni? Mbona hatusikii mkinanga juu ufisadi kama ilivyokuwa huko nyuma?

Wanachadema ripoti ya CAG hamuioni? Mbona hatusikii mkinanga juu ufisadi kama ilivyokuwa huko nyuma?

Usijitoe kwenye mada. Umesahau mlivyokuwa mkipiga mayowe?
"Umeahau" wapi nilipopiga yowe?
No place nime decalre kuwa nikonchama fulani.
Nime comment kama mwananchi wa kawaida.

But narudi pale pale? Hizo yowe ziliwasaidia nini? serikali ilichukua hatua gani?
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Ndumilakuwili wa matumbo yao tu hao, kama ulikuwa hujui ni heri tu ungejishughulisha na viinua uchumi wako kuliko siasa za Bongo.
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
JPM si hayupo tena
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Bila CHADEMA ninyi hamuwezi pigia kelele hiyo Ripoti!?

Si mpige kelele kwamba CAG kasema Chadema wamekula Mil 9 halafu mama yenu ataupiga mwingiiii

Mmechanganyikiwa.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Act wameiona
 
"Umeahau" wapi nilipopiga yowe?
No place nime decalre kuwa nikonchama fulani.
Nime comment kama mwananchi wa kawaida.

But narudi pale pale? Hizo yowe ziliwasaidia nini? serikali ilichukua hatua gani?
Hujui?
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Naona unaongelea milion 9 za chadema, vipi zile milion za ccm???
 
Wanaopiga kelele sio wana CCM. Ni yale mafuasi ya mwendazake....
Kwamba mwendazake alikuwa siyo ccm?

Na kwmaba huu upigaji wasio wasio wafuasi wa mwendazake hauwahusu?
 
Back
Top Bottom