Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Naulizia alizokwapua jiwe na kina SabayaJiwe hayupo tena,
Vipi hizi za kipenzi chako hangaya unajua zilipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naulizia alizokwapua jiwe na kina SabayaJiwe hayupo tena,
Vipi hizi za kipenzi chako hangaya unajua zilipo?
Kutokana na ripoti ya CAG, wanaume wa CCM si mlifaidika na bima za kike za uzazi zitolewazo na NHIF!? Mnataka nini tena wakati mlikwisha kujifungua?Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.
Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?
Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Pole sana kwa na mgangaNdio hamukosoi?
Kwa Elimu yako. Ulicho andika hapa umesaidia Taifa kwa lipi? Kama siyo kuongeza wajinga Tz!!!Nani kakwambia hao chadema wanachukizwa na ufisadi? Hao ndio walimchukua fisadi na kumpa nafasi ya kugombea urais kwenye chama chao sasa hao utasema wanachukizwa na ufisadi?
Kipindi cha Magu walipigia kelele ufisadi kwa sababu tu hawakumpenda Magu hivyo walikuwa wakimchafua na si kwamba walikuwa wanakosoa, sasa hivi Magu hayupo waanze kupiga kelele za ufisadi ili iweje?
I see?Nani kakwambia hao chadema wanachukizwa na ufisadi? Hao ndio walimchukua fisadi na kumpa nafasi ya kugombea urais kwenye chama chao sasa hao utasema wanachukizwa na ufisadi?
Kipindi cha Magu walipigia kelele ufisadi kwa sababu tu hawakumpenda Magu hivyo walikuwa wakimchafua na si kwamba walikuwa wanakosoa, sasa hivi Magu hayupo waanze kupiga kelele za ufisadi ili iweje?
Kusaidia taifa kwa kupiga soga humu? Au wewe nae ni mjinga?Kwa Elimu yako. Ulicho andika hapa umesaidia Taifa kwa lipi? Kama siyo kuongeza wajinga Tz!!!
Wapinzani wanatuchelewesha, kila kitu wanapinga, hata hii report ya CAG wanaipinga ndio maana wapo kimya.Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.
Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?
Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Hao enzi zao zilishapita vipi za kipenzi chako SamiaNaulizia alizokwapua jiwe na kina Sabaya
Jiwe na wenzake kina Sabaya wanajuaHao enzi zao zilishapita vipi za kipenzi chako Samia
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.
Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?
Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Ufisadi huo wa kipindi Cha bwana yule, hiyo kampuni haijatajwa, lakini Ni kampuni yake bwana yuleMlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.
Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?
Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Wakikuwa hawana lengo la kukosoa kwa maslahi ya Taifa bali walikuwa wanapambana naeNdio hamukosoi?
Angalia ufisadi aliofanya mungu wenu wa sukuma gani,Tena kupitia kampuni yake nasikia ndio ilipewa kandarasiNdumilakuwili wa matumbo yao tu hao, kama ulikuwa hujui ni heri tu ungejishughulisha na viinua uchumi wako kuliko siasa za Bongo.
Kipindi kile mnavyopiga kelele za upotevu wa 1.5 t mlikuwa bungeni!!?? Au na nyie mpo kwenye pay roll ya utawala huu??Wapige kelele wapi si bungeni mpo nyie sasa hivi tena mmeanza unafiki mnawamiss walio kua wanachelewesha maendeleo ...kweli nyiieni makopo ya chooni ...
Bunge lenu la kijani tupu kazi yake ni nini?Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.
Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?
Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Wewe darasa la memkwa acha kelele ccm wametumia mamia ya mamilion kifisadi au hujasoma hiyo taarifa[emoji850]Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.
Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?
Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
🤣🤣🤣🤣🤣Wapige kelele wapi si bungeni mpo nyie sasa hivi tena mmeanza unafiki mnawamiss walio kua wanachelewesha maendeleo ...kweli nyiieni makopo ya chooni ...