Wanachadema ripoti ya CAG hamuioni? Mbona hatusikii mkinanga juu ufisadi kama ilivyokuwa huko nyuma?

Wanachadema ripoti ya CAG hamuioni? Mbona hatusikii mkinanga juu ufisadi kama ilivyokuwa huko nyuma?

Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Kutokana na ripoti ya CAG, wanaume wa CCM si mlifaidika na bima za kike za uzazi zitolewazo na NHIF!? Mnataka nini tena wakati mlikwisha kujifungua?
 
Kutokana na ripoti ya CAG, wanaume wa CCM si mlifaidika na bima za kike za uzazi zitolewazo na NHIF!? Mnataka nini tena wakati mlikwisha kujifungua?
Acha hasira.
 
Nani kakwambia hao chadema wanachukizwa na ufisadi? Hao ndio walimchukua fisadi na kumpa nafasi ya kugombea urais kwenye chama chao sasa hao utasema wanachukizwa na ufisadi?

Kipindi cha Magu walipigia kelele ufisadi kwa sababu tu hawakumpenda Magu hivyo walikuwa wakimchafua na si kwamba walikuwa wanakosoa, sasa hivi Magu hayupo waanze kupiga kelele za ufisadi ili iweje?
 
Nani kakwambia hao chadema wanachukizwa na ufisadi? Hao ndio walimchukua fisadi na kumpa nafasi ya kugombea urais kwenye chama chao sasa hao utasema wanachukizwa na ufisadi?

Kipindi cha Magu walipigia kelele ufisadi kwa sababu tu hawakumpenda Magu hivyo walikuwa wakimchafua na si kwamba walikuwa wanakosoa, sasa hivi Magu hayupo waanze kupiga kelele za ufisadi ili iweje?
Kwa Elimu yako. Ulicho andika hapa umesaidia Taifa kwa lipi? Kama siyo kuongeza wajinga Tz!!!
 
Nani kakwambia hao chadema wanachukizwa na ufisadi? Hao ndio walimchukua fisadi na kumpa nafasi ya kugombea urais kwenye chama chao sasa hao utasema wanachukizwa na ufisadi?

Kipindi cha Magu walipigia kelele ufisadi kwa sababu tu hawakumpenda Magu hivyo walikuwa wakimchafua na si kwamba walikuwa wanakosoa, sasa hivi Magu hayupo waanze kupiga kelele za ufisadi ili iweje?
I see?
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Wapinzani wanatuchelewesha, kila kitu wanapinga, hata hii report ya CAG wanaipinga ndio maana wapo kimya.
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?

Tumewaachia nyie wa chama cha dhalimu mpige kelele.
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Ufisadi huo wa kipindi Cha bwana yule, hiyo kampuni haijatajwa, lakini Ni kampuni yake bwana yule
Screenshot_20220413-213354.png
 
Ndumilakuwili wa matumbo yao tu hao, kama ulikuwa hujui ni heri tu ungejishughulisha na viinua uchumi wako kuliko siasa za Bongo.
Angalia ufisadi aliofanya mungu wenu wa sukuma gani,Tena kupitia kampuni yake nasikia ndio ilipewa kandarasi
🔨👇

Screenshot_20220413-213354.png
 
Wapige kelele wapi si bungeni mpo nyie sasa hivi tena mmeanza unafiki mnawamiss walio kua wanachelewesha maendeleo ...kweli nyiieni makopo ya chooni ...
Kipindi kile mnavyopiga kelele za upotevu wa 1.5 t mlikuwa bungeni!!?? Au na nyie mpo kwenye pay roll ya utawala huu??
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Bunge lenu la kijani tupu kazi yake ni nini?
 
Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.

Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?

Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Wewe darasa la memkwa acha kelele ccm wametumia mamia ya mamilion kifisadi au hujasoma hiyo taarifa[emoji850]
 
Back
Top Bottom