Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
"Umeahau" wapi nilipopiga yowe?Usijitoe kwenye mada. Umesahau mlivyokuwa mkipiga mayowe?
Kila mtu adadavue anavyoona inamfaa. TusipangianeSijakupangia,ila kinachofika hapa jukwaani,usitunyime kudadavua😜
Wapi nilipokipangia,kula kulingana na urefu wa kamba Yako,kwani umefungwa kamba shingoni,mguuni au🤔Kila mtu adadavue anavyoona inamfaa. Tusipangiane
Ndumilakuwili wa matumbo yao tu hao, kama ulikuwa hujui ni heri tu ungejishughulisha na viinua uchumi wako kuliko siasa za Bongo.Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.
Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?
Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
JPM si hayupo tenaMlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.
Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?
Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Bila CHADEMA ninyi hamuwezi pigia kelele hiyo Ripoti!?Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.
Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?
Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
inawezekana mtoa mada ni mmojawapo ya wanaume waliojifunguaYaani baada ya kujua kuna wanaume walijifungua hata hamu ya kujadili ikaishia hapo,hata ungekuwa wewe nguvu ungeitoa wap ??Tanzania hii watu wanasiri sana yaan wanaume wanajifungua huko hata hamsemi
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Act wameionaMlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.
Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?
Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Naona unaongelea milion 9 za chadema, vipi zile milion za ccm???Mlipiga sana kelele miaka ya nyuma baada ya ripoti ya CAG kuwa inaleta tashwishwi juu ya ufisadi kufanyika.
Mlikuwa mnapaza sauti na kupayuka kuwa kuna upigaji mkubwa, hasara za ATCL na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Swali, mbona sasa hivi mpo kimya juu ya kuchambua na kupiga kelele juu ya madudu yaliyoibuliwa?
Au sababu mlitumia mil 9 bila kufuata utaratibu?
Vipi hizi za sasa unajua zimefanya nini?Jiwe hadi sasa hatujui 1.5trillion alizifanyia nini
Kwamba mwendazake alikuwa siyo ccm?Wanaopiga kelele sio wana CCM. Ni yale mafuasi ya mwendazake....
Kina Sabaya walizikwapuaMlipewa majibu zilipoenda. Haya madudu nayo muhoji ili mupewe majibu.
Naulizia alizopiga jiweVipi hizi za sasa unajua zimefanya nini?
Jiwe hayupo tena,Naulizia alizopiga jiwe