Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
CHADEMA Mkoa wa Morogoro kimemfukuza uanachama aliyekuwa kada wao, Dkt. Alabanie Marcossy kwa makosa ya kukiuka kanuni, sheria na maadili ya chama hicho.
Hivi karibuni Dkt. Marcossy alitoa waraka wake akidai kuwa, kuna matumizi ya fedha na madeni nje ya mfumo wa chama cha CHADEMA
😀😃😃
Hivi karibuni Dkt. Marcossy alitoa waraka wake akidai kuwa, kuna matumizi ya fedha na madeni nje ya mfumo wa chama cha CHADEMA
😀😃😃