WanaCHADEMA tukubali kukosoana. Kama pesa zinatafunwa tuseme ukweli sio kutimuana

WanaCHADEMA tukubali kukosoana. Kama pesa zinatafunwa tuseme ukweli sio kutimuana

Tanzania bado kuna safari ndefu ya kupata upinzani wa kweli. Maana waliopo sasa wanapigania matumbo yao na ya familia zao, tena siku hizi wanaonesha dhahiri kwa kwenda ikulu kila mara kulamba asali, mara kusema bila aibu tena kwa kujiamini kuwa washawakimbizia watoto wao Marekani wakaombe uraia wa huko huku wakiwahadaa watoto wa maskini kuwa wanawapambania.
Yani upuuzi mtupu.
Naona unajifunza propaganda lakini ni kama unapishana na beat. Kwa taarifa yako kama kuombea watoto wao ulaya, viongozi wa CCM ndio wanaoongoza, na bado wanaiba chaguzi waendelee kukaa madarakani.

Kaangalie maisha mfano ya watoto wa Mwigulu, na ya watoto wa watanzania wengine anaosema anawapigania. Akina Kikwete Kawa rais ana kila kitu, lakini mke na mtoto wake wako bungeni, tena kwa kura za wizi. Kwanini wasiwaachie hizo nafasi watanzania wengine wanyonge nao waonje cake ya taifa? Katika mazingira hayo ni kwanini usipeleke watoto wako ulaya, kuliko kugeuka mashahidi wa cake ya taifa kutafunwa na watu wale wale?
 
Naona unajifunza propaganda lakini ni kama unapishana na beat. Kwa taarifa yako kama kuombea watoto wao ulaya, viongozi wa CCM ndio wanaoongoza, na bado wanaiba chaguzi waendelee kukaa madarakani.

Kaangalie maisha mfano ya watoto wa Mwigulu, na ya watoto wa watanzania wengine anaosema anawapigania. Akina Kikwete Kawa rais ana kila kitu, lakini mke na mtoto wake wako bungeni, tena kwa kura za wizi. Kwanini wasiwaachie hizo nafasi watanzania wengine wanyonge nao waonje cake ya taifa? Katika mazingira hayo ni kwanini usipeleke watoto wako ulaya, kuliko kugeuka mashahidi wa cake ya taifa kutafunwa na watu wale wale?
Kwahiyo lengo la kuanzisha vyama vya upinzani ni kufanya yale yale yanayofanywa na chama tawala au sio?
Kwamba kwa vile Kikwete ana watoto nje basi na Mbowe au Zito na wao wawe na watoto nje?

Wapinzani kufanya makosa yanayofanywa na viongozi wa chama tawala sio ukombozi bali ni kuendeleza ukiritimba wa miaka na miaka.
Kwa lugha nyingine hakuna viongozi mbadala wa kujitofautisha na hawa waliopo madarakani. Wote ni wale wale tu wanawachora wadanganyika kupitia siasa uchwara zisizokuwa na kichwa wala miguu.
 
Hata mimi niliona huko twitter account ya mtu anayejiita Marcos Albanie akiseme amefukuzwa CDM kwa kuhoji matumizi ya fedha. Nilipuuza maana baada ya kufuatilia post zake nyingine niliona akitoa hoja nyepesi na nyingine sio za hadhi yake. Nikahisi ni parody tu linalojifanya ni Marcos Albanie. Kwangu Marcos Albanie alipaswa kuwa katibu Mkuu wa CDM mara baada ya kutoka Dr. Slaa na sio Mashinji. Je taarifa hizi ni kweli?

Hata hivyo bila kujali ukweli wa taarifa hii, mimi nimekuwa nikisema Mbowe hastahili tena kuwa mwenyekiti wa CDM, na hili nililisema mara baada ya kumpokea Lowassa. Na sasa nazidi kusisitiza kuwa Mbowe sio kiongozi sahihi tena wa CDM. Ni juu ya wanachama wa CDM kumkataa hadharani maana anakipotezea chama brand yake, kisha anajifichia kwenye maridhiano ya kitapeli. Inshort Mbowe kashafikia mwisho.

Ni kweli amefukuzwa mkuu. Lakini kwenye ngazi ya Wilaya. So bado anaweza kukata rufaa. Ila yeye amedai kuwa ni mwanchama wa CHADEMA. Amehaidi kutoa press conference.

Huyu anafaa Sana kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA ana misimamo na elimu kubwa .

Kuhusu Mbowe Ni vizuri akaondoka kwa amani maana majembe ni mengi ya kushika nafasi hiyo. Heshima yake itabaki na ataendelea kuwa mshauri wa chama.
 
Hata mimi niliona huko twitter account ya mtu anayejiita Marcos Albanie akiseme amefukuzwa CDM kwa kuhoji matumizi ya fedha. Nilipuuza maana baada ya kufuatilia post zake nyingine niliona akitoa hoja nyepesi na nyingine sio za hadhi yake. Nikahisi ni parody tu linalojifanya ni Marcos Albanie. Kwangu Marcos Albanie alipaswa kuwa katibu Mkuu wa CDM mara baada ya kutoka Dr. Slaa na sio Mashinji. Je taarifa hizi ni kweli?

Hata hivyo bila kujali ukweli wa taarifa hii, mimi nimekuwa nikisema Mbowe hastahili tena kuwa mwenyekiti wa CDM, na hili nililisema mara baada ya kumpokea Lowassa. Na sasa nazidi kusisitiza kuwa Mbowe sio kiongozi sahihi tena wa CDM. Ni juu ya wanachama wa CDM kumkataa hadharani maana anakipotezea chama brand yake, kisha anajifichia kwenye maridhiano ya kitapeli. Inshort Mbowe kashafikia mwisho.
Nikisema mimi inakuwa kosa. Sema wewe sasa
 
Kwahiyo lengo la kuanzisha vyama vya upinzani ni kufanya yale yale yanayofanywa na chama tawala au sio?
Kwamba kwa vile Kikwete ana watoto nje basi na Mbowe au Zito na wao wawe na watoto nje?

Wapinzani kufanya makosa yanayofanywa na viongozi wa chama tawala sio ukombozi bali ni kuendeleza ukiritimba wa miaka na miaka.
Kwa lugha nyingine hakuna viongozi mbadala wa kujitofautisha na hawa waliopo madarakani. Wote ni wale wale tu wanawachora wadanganyika kupitia siasa uchwara zisizokuwa na kichwa wala miguu.

Uivyoongea kuhusu watoto wa Lisu kwenda US ni kama kufanya propaganda chafu, bila kujua hiyo hali ni ya kawaida sana huko CCM. Kwa taarifa yako kila mtu anaweza kupeleka familia yako kokote atakako dunia hii ili mradi havunji sheria. Labda useme ni sheria gani Lisu amevunja kwa watoto wake kwenye Amerika.
 
Mimi nilikuwa chadema damu, lakini upuuzi walioufanya mwaka 2015 na kukaa mpaka leo bila kutuomba wananchi msamaha kwa upuuzi ule, imenifanya na mimi niwapuuze viongozi wote wa upinzani na siasa zao uchwara.
Hauko peke yako mkuu, hata mimi toka 2015 niliamua kujiweka kando na chadema baada ya upuuzi ule. Ulikuwa ni unafiki wa kiwango cha juu sana.
 
Ni kweli amefukuzwa mkuu. Lakini kwenye ngazi ya Wilaya. So bado anaweza kukata rufaa. Ila yeye amedai kuwa ni mwanchama wa CHADEMA. Amehaidi kutoa press conference.

Huyu anafaa Sana kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA ana misimamo na elimu kubwa .

Kuhusu Mbowe Ni vizuri akaondoka kwa amani maana majembe ni mengi ya kushika nafasi hiyo. Heshima yake itabaki na ataendelea kuwa mshauri wa chama.

Ngoja tusubiri press conference yake. Mbowe yeye kwa sasa kafikia mwisho. Hapo alipo hana jipya zaidi ya kuharibu haiba ya CDM. Ashauriwe akae pembeni haraka iwezekanavyo.
 
Viongozi wa CHADEMA wameshakuwa CORRUPTED..lobbied.. hamna kitu tena humo..
 
Kuongea ukweli kuhusu utafunwaji wa fedha za chama. Huko mwenyekiti na genge lake wakitafuna fedha za chama hautakiwi kuuliza wala kuhoji utafunwaji huo.
Chadema ina ela gani?? We umekichangia shs ngapi?? Ebu hacha porojo zako za kijinga
 
Nadhani wata solve hili tatizo, maana lipo ngazi ya Chini. Hilo sio kosa la kufukuzwa chamani. Tafadhali, huyu mtu wa muhimu Sana. Very intelligent tusimpoteze.
Hana umuhimu wowote, hawa ni mamruki toka ccm
 
Hana umuhimu wowote, hawa ni mamruki toka ccm

Sidhani, huyo siyo mamluki wa CCM . Mamluki wote waliondoka kipindi Cha Magufulii. Ila huyu ndio alikuwa campaign adviser wa Lissu 2020 .kumbuka pia aligombea ubunge mwaka 2015 Morogoro mjini.
 
Ngoja tusubiri press conference yake. Mbowe yeye kwa sasa kafikia mwisho. Hapo alipo hana jipya zaidi ya kuharibu haiba ya CDM. Ashauriwe akae pembeni haraka iwezekanavyo.

Mbowe akilazimisha kugombea Tena Kuna kitu kitapungua CHADEMA. Lakini akistaafu na kumwachia Heche au Lissu Kuna kitu kipya kitaongezeka CHADEMA. Nadhani ashauriwe mapema.
 
Chadema ina ela gani?? We umekichangia shs ngapi?? Ebu hacha porojo zako za kijinga

Safi Sana. Hao wanaongea tu bila kujua lolote. Chama kwa Sasa kinaendeshwa kwa kujitolea.
 
Back
Top Bottom