Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Tunapenda sana kula pesa za umma.Ndo wanaharibu chama ivo,kufukuza watu wanaokivumilia chama pamoja na magumu yote inayopitia ni kujiondolea baraka
Hapana,tuwe tayari kukubali kukosolewa ndo sehemu ya kuendesha chama vyemaTunapenda sana kula pesa za umma.
Kuongea ukweli kuhusu utafunwaji wa fedha za chama. Huko mwenyekiti na genge lake wakitafuna fedha za chama hautakiwi kuuliza wala kuhoji utafunwaji huo.Kosa langu nini?
Ndo wanaharibu chama ivo,kufukuza watu wanaokivumilia chama pamoja na magumu yote inayopitia ni kujiondolea baraka
Sauti tuipaze bas,kwa njia gani ....sijuiNadhani wata solve hili tatizo, maana lipo ngazi ya Chini. Hilo sio kosa la kufukuzwa chamani. Tafadhali, huyu mtu wa muhimu Sana. Very intelligent tusimpoteze.
Hapana,tuwe tayari kukubali kukosolewa ndo sehemu ya kuendesha chama vyema
Mungu ampiganie aiseeAngeitwa atoe ushahidi mambo yaendelee. Huyu doctor kajiyolea Sana kwenye chama. Mwaka 2015 aligombea ubunge Morogoro Mjini.
CHADEMA haipo kutetea umma, ipo kujitetea
Tunapenda sana kula pesa za umma.
Kwa vile ashatoa siri ya utafunwaji wa fedha za chama basi usitegemee huyo kamanda kurudishwa.Nadhani wata solve hili tatizo, maana lipo ngazi ya Chini. Hilo sio kosa la kufukuzwa chamani. Tafadhali, huyu mtu wa muhimu Sana. Very intelligent tusimpoteze.
Sauti tuipaze bas,kwa njia gani ....sijui
Tanzania bado kuna safari ndefu ya kupata upinzani wa kweli. Maana waliopo sasa wanapigania matumbo yao na ya familia zao, tena siku hizi wanaonesha dhahiri kwa kwenda ikulu kila mara kulamba asali, mara kusema bila aibu tena kwa kujiamini kuwa washawakimbizia watoto wao Marekani wakaombe uraia wa huko huku wakiwahadaa watoto wa maskini kuwa wanawapambania.Mungu ampiganie aisee
Hakika taarifa zifike tuTukimpoteza huyu, sijui. Huyu pamoja na bananga na Amani Golugwa ndio walikuwa washauri wa Lissu kwenye kampeni za 2020. Na walitembea naye kampeni nzima. Hebu tupime kosa na umuhimu wa Dr Albanie tufanye maamuzi sahihi.
Taarifa zitafika tu kwa Viongozi wa juu.
Atashinda tu. Maana hajafanya usaliti bali katoa maoni yake.Mungu ampiganie aisee
Yaan sijui nao wamechoka mweeTanzania bado kuna safari ndefu ya kupata upinzani wa kweli. Maana waliopo sasa wanapigania matumbo yao na ya familia zao, tena siku hizi wanaonesha dhahiri kwa kwenda ikulu kila mara kulamba asali, mara kusema bila aibu tena kwa kujiamini kuwa washawakimbizia watoto wao Marekani wakaombe uraia wa huko huku wakiwahadaa watoto wa maskini kuwa wanawapambania.
Yani upuuzi mtupu.