Unauliza hirizi Tanga?!Acha ubwege. Mimi niwe CCM?
Siwezi kuwa Chama cha majambaziUnauliza hirizi Tanga?!
Hamna mwanacdm tutusa wa aina yako.Siwezi kuwa Chama cha majambazi
We fala unawashwa nyeo?Hamna mwanacdm tutusa wa aina yako.
Acha kujipendekeza kwenye vyama vya wanaume ww msichana.We fala unawashwa nyeo?
Kinana alisimamishwa uanachama na kikao gani?Tupe ushahidi wacha ku justify ujinga wako.Lete ushahidi.Chama pia kina mambo yake ya ndani. Kuchukua dola haizuii kupishana kauli ndani ya chama. Mbona CCM juzi tu hapa walimsimamisha uanavhama kinana. Na Leo ndio Makamu Mwenyekiti. Haya mambo yapo.
Waliofanya ule upuuzi bado wako chadema!Mbona Lowassa kasharudi ccm .
Chadema Chama Cha kudeka kwa Mama, hawana emotional intelligence yenye stability kuhimili mawimbi ya kisiasa, ni Chama Cha Wachaga, Familia ya Mtei na Mbowe.CHADEMA Mkoa wa Morogoro kimemfukuza uanachama aliyekuwa kada wao, Dkt. Alabanie Marcossy kwa makosa ya kukiuka kanuni, sheria na maadili ya chama hicho.
Hivi karibuni Dkt. Marcossy alitoa waraka wake akidai kuwa, kuna matumizi ya fedha na madeni nje ya mfumo wa chama cha CHADEMA
πππ
View attachment 2467325
View attachment 2467326
Ndio ujue Mbowe au mchaga hana masihara kwenye suala fursa(pesa) πHuyu doctor kafukuzwa hapana. Mbona ndio tulimsubiri kuwa Katibu Mkuu wa chama. Sio habari nzuri hizi.