Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakachofanya atakata rufaa ashinde kimchongo wahalalishe ugombea wake.Sabaya kafungwa mwaka 1
Tunakumbushana tu [emoji23]
Umeshasahau harakati za Rau Madukani?Lengai alimdhibiti Mbowe kwa njia gani? halali au haramu?
Nasubiri jibu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Huyo Sabaya atakata rufaa kwani anagombea nini?Watakachofanya atakata rufaa ashinde kimchongo wahalalishe ugombea wake.
Mbowe anaweza kudhibitiwa na MUNGU pekeeLengai alimdhibiti Mbowe kwa njia gani? halali au haramu?
Nasubiri jibu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Basi kama ndio hizi hapo mleta mada amefeli, ni kama vile anashabikia ule uhuni waliofanyiwa wapinzani na Sabaya.Umeshasahau harakati za Rau Madukani?
The end justifies the means.Lengai alimdhibiti Mbowe kwa njia gani? halali au haramu?
Nasubiri jibu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
APewe nafasi ya Katibu Mkuu iliyoachwa Wazi. Ni kijana Mchapakazi Shambani, Ofisini, Dukani, Airport, Hotelini na kwingineko.Sabaya kafungwa mwaka 1
Tunakumbushana tu 😂
Atapewa na msaidizi wake atakuwa Salum HappiAPewe nafasi ya Katibu Mkuu iliyoachwa Wazi. Ni kijana Mchapakazi Shambani, Ofisini, Dukani, Airport, Hotelini na kwingineko.
👍Sabaya kafungwa mwaka 1
Tunakumbushana tu 😂
Duh! Si juzi juzi tu hapa alikuwa lupango? Au hapo lupango alidhibitiwa na Mungu?Mbowe anaweza kudhibitiwa na MUNGU pekee
Yaani Leo Lengai kawa mungu?Mbowe anaweza kudhibitiwa na MUNGU pekee
ShangaaYaani Leo Lengai kawa mungu?
Mwisho wa siku si aliachiwaDuh! Si juzi juzi tu hapa alikuwa lupango? Au hapo lupango alidhibitiwa na Mungu?
Kwa akili zako unadhani Baba yake Sabaya atahukumiwa kwa matendo yake maovu ya Sabaya?? Ndivyo akili zinavyokutuma na ndio maana umetutumka ukidhani Baba yake asingestahili mbele ya jamii.Lengai alimdhibiti Mbowe kisiasa kule Hai.
WanaChadema walichukia sana . Ndio maana hata alipokuwa na kesi za mizengwe walifurahi sana.
Hii nayo imewapa mashaka.
👇View attachment 2833424
Acha kuweweseka na kuwawazia Chadema muda wote. By the way, mimi ni Mtanzania tu Mzalendo nisiye na chama.Lengai alimdhibiti Mbowe kisiasa kule Hai.
WanaChadema walichukia sana . Ndio maana hata alipokuwa na kesi za mizengwe walifurahi sana.
Hii nayo imewapa mashaka.
👇View attachment 2833424