WanaCHADEMA watakuwa wamechukia wanajua Lengai Sabaya naye atarudi kwenye game. Bado wana kinyongo

WanaCHADEMA watakuwa wamechukia wanajua Lengai Sabaya naye atarudi kwenye game. Bado wana kinyongo

Lengai alimdhibiti Mbowe kisiasa kule Hai.

WanaChadema walichukia sana . Ndio maana hata alipokuwa na kesi za mizengwe walifurahi sana.

Hii nayo imewapa mashaka.
👇View attachment 2833424
mpaka waje kuacha harakati na kuanza kufanya siasa ndio makasiriko yataisha....

mie sidhani hata kama wanafaahumu maana, kusudi na malengo ya chama cha siasa. Sina hakika...

Coz let face it,
me naona wako nnje ya malengo kabsaa...
Hawaonyeshi kua mbdala wa chochote..

huwa najiuliza hii kulalamika itakufikisha wap, kukasirika au kuzira na kususa itakupeleka wapi?

hii kuita wanainchi wajinga, hawajielewi kwasabb wanaunga mkono chama ingine, yaani ndio unadhani itakupa credit kweli? sio ndio unaharibu taswira ya chama chenu kabisa kwa wananchi?

Jana yule kiongozi mukubwa wa kutumwa na mabwenyenye wa huko ng'ambo anabeza viongozi wa dini waliopo, ati kuna kiongozi wa dini moja tu ndio mahiri na eti waanze kutafuta viongozi wa dini wa aina ya huyo anaefaa...

Sasa nikajiuliza hawa waliopo kama hawafai wafanyweje?
Na hao wa kutafutwa watafutwa wap? Hapa si ni kujipalia makaa tu...

Inatia huruma sana Tz kukosa vibrant opposition
 
Kama huwezi kuwahurumia wale walioteswa na kuporwa mali zao na Sabaya na wengine kupewa kilema cha maisha basi wewe ni mtu ambae unaishi kwa bahati mbaya sana ktk hii karne ya 21! Ulitakiwa uwe uliishia karne ya 7 na sio zaidi ya hapo!
 
Acha kuweweseka na kuwawazia Chadema muda wote. By the way, mimi ni Mtanzania tu Mzalendo nisiye na chama.
Ila nimegundua Chadema wanakunyima usingizi kupitia hili bandiko lako.
Acha tuseme kweli basi. Hii ni haki ya kikatiba.
 
Kama huwezi kuwahurumia wale walioteswa na kuporwa mali zao na Sabaya na wengine kupewa kilema cha maisha basi wewe ni mtu ambae unaishi kwa bahati mbaya sana ktk hii karne ya 21! Ulitakiwa uwe uliishia karne ya 7 na sio zaidi ya hapo!
Hearsays.
 
Acha akili ndogo zakutukuza watu kwasababu za kijinga.Huyo sabaya na huyo baba yake wala hawana cha maana.Nikwavile tuko kwenye nchi yakijinga ndo maana walitumia nafasi zao zauongozi kusumbua watu badala yakuleta maendeleo.
 
mpaka waje kuacha harakati na kuanza kufanya siasa ndio makasiriko yataisha....

mie sidhani hata kama wanafaahumu maana, kusudi na malengo ya chama cha siasa. Sina hakika...

Coz let face it,
me naona wako nnje ya malengo kabsaa...
Hawaonyeshi kua mbdala wa chochote..

huwa najiuliza hii kulalamika itakufikisha wap, kukasirika au kuzira na kususa itakupeleka wapi?

hii kuita wanainchi wajinga, hawajielewi kwasabb wanaunga mkono chama ingine, yaani ndio unadhani itakupa credit kweli? sio ndio unaharibu taswira ya chama chenu kabisa kwa wananchi?

Jana yule kiongozi mukubwa wa kutumwa na mabwenyenye wa huko ng'ambo anabeza viongozi wa dini waliopo, ati kuna kiongozi wa dini moja tu ndio mahiri na eti waanze kutafuta viongozi wa dini wa aina ya huyo anaefaa...

Sasa nikajiuliza hawa waliopo kama hawafai wafanyweje?
Na hao wa kutafutwa watafutwa wap? Hapa si ni kujipalia makaa tu...

Inatia huruma sana Tz kukosa vibrant opposition
Upinzani Tanzania upo tena wa uhakika ila dola inapojihusisha na siasa hapo ndipo taswira ya mfumo wa vyama vingi nchini hupotea.Mfano Magufuri alikataza mikutano na vikao vya vyama vya siasa bila sababu zozote za msingi kwa kutumia dola na fedha za nchi.Mwishowe hata wale aliokuwa anawatetea walikuja kumtukana kwa sababu alikuwa fisadi na hakupenda kukosolewa kama Idd Amin wa darasa la nne,nafikiri hata Magufuri kwenye mambo ya elimu alikuwa nyuma sana.Alifika hapo alipo kwa sababu ya kukariri na uchawi pamoja na dhuluma.
 
Nimekuwa nawaza siku nyingi sana; kwanini ccm inapenda sana watu wasio na maadili?
Nimegundua hii ni kutokana na ccm kutokuwa na maadili wala hofu ya Mungu, wamekuwa watu wasio na woga wala hofu ya Munguj.
 
Back
Top Bottom