Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
stupid burger!Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.
Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.
Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kuponha ng'o.
Aisee nakuelewa sana kamanda.Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.
Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.
Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kuponha ng'o.
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.
Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.
Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kuponha ng'o.
Ulimuona wapi analamba?Nikajua umepona kichaa chako kumbe bado upo tu.Unatakiwa upelekwe "Milembe Resorts" ukapumzike.Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.
Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.
Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kuponha ng'o.
Mimi nipo tuUmerudi kwa kasi sana
Baba yakoWe sio chadema, chadema hatunaga ma gasho!.
Unajifanya hujui kuwa amelamba asali?Ulimuona wapi analamba?Nikajua umepona kichaa chako kumbe bado upo tu.Unatakiwa upelekwe "Milembe Resorts" ukapumzike.
Hapana Mbowe ndio tatizoChadema ni janga
Weye ulijuaje?Mimi sijui na wala sijaona.Unajifanya hujui kuwa amelamba asali?
Akipeleka posa kwa wazazi wako ili akuoe na aachane na CHADEMA utachekelea eti?Akutunze weye tuHapana Mbowe ndio tatizo
Unajitoa ufahamuWeye ulijuaje?Mimi sijui na wala sijaona.
Mwambie amuoe baba yakoAkipeleka posa kwa wazazi wako ili akuoe na aachane na CHADEMA utachekelea eti?
Baba yangu hapendi kuoaoa.Mwambie amuoe baba yako
Mlazimishe afumuliwe marindaBaba yangu hapendi kuoaoa.
Ndiyo unafumuliwaga hivyo?Na unatembea kwa kuringa kikamanda?ππππMlazimishe afumuliwe marinda
Hivi weye mchovu,ulikuwa unatawa na kujipaka mafuta ya nazi uwe mwororo?Siku nyingi haujaandika manyangalakata yako.Au ulienda kuwasalimia wakwe zako upande wa mumeo?Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.
Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.
Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
NakupuuzaHivi weye mchovu,ulikuwa unatawa na kujipaka mafuta ya nazi uwe mwororo?Siku nyingi haujaandika manyangalakata yako.Au ulienda kuwasalimia wakwe zako upande wa mumeo?
Utanipuuzaje?Umeanza dharau kwa sisi "semegi" zako upande wa mumeo?Sikurithi.Naahirisha.Nakupuuza