WanaCHADEMA wengi hatupendi namna Mbowe alivyolamba asali ila hatuna namna maana hatuna maamuzi

WanaCHADEMA wengi hatupendi namna Mbowe alivyolamba asali ila hatuna namna maana hatuna maamuzi

Kwahiyo mkuu hapa Tanzania tumtegemee Mh. Mbowe tu ndo atupiganie? Kule Bungeni waliopo wabunge wengi vile hawawezi kufanya kazi ya kuwatetea wananchi?

Au unadhani Mh. Mbowe yeye hachoki kuwatetea wananchi ambao ni sawa na maiti. Wewe Kama mwananchi unatakaiwa utambue haki zako na wajibu wa serikali yako kwanza kabla ya kumtegemea mtu yeyeto kuja kusimama kwa niaba yako.
Mbowe anavuruga mchakato wa kupambana dhidi ya CCM
 
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
We jamaa katoe tu mimba ya Mbowe itakunyanyasa sana.
 
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Mbowe akikaa GEREZANI, vp ww Kamanda Jina.
 
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Mimba aliyokutundika Mbowe inakusumbua sana kama vipi ichomoe
Kwani huko CCM hakuna wanaume hadi unamng'ang'ani Mbowe?
 
Hapana Mbowe ndio tatizo

Nadhani janga liko moyoni mwako! Mbowe hajawhi kuwa janga na bado ni kiongozi mpendwa wa chama! Chadema hatuna watu kama wewe! Kama kweli wewe ni chadema unaweza kuondoka bila kuwasakama viongozi wetu wapendwa! Ninachokifahamu ni kuwa wewe ni kati ya chawa wa CCM na inawezekana umeolewa na mmoja wao!
 
Nadhani janga liko moyoni mwako! Mbowe hajawhi kuwa janga na bado ni kiongozi mpendwa wa chama! Chadema hatuna watu kama wewe! Kama kweli wewe ni chadema unaweza kuondoka bila kuwasakama viongozi wetu wapendwa! Ninachokifahamu ni kuwa wewe ni kati ya chawa wa CCM na inawezekana umeolewa na mmoja wao!
Stupid and non sense
 
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Wewe si chadema ila ni mchochezi mmoja tu!!
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.

Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
 
Back
Top Bottom