Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hilo ndilo jina lake alilotumia shule ya msingi.Uwe unaacha ubishi.Na sketi alikuwa anafunga kwa pini.Hulioni jina lake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndilo jina lake alilotumia shule ya msingi.Uwe unaacha ubishi.Na sketi alikuwa anafunga kwa pini.Hulioni jina lake?
Ulimuona alipokuwa shule ya msingi?Hilo ndilo jina lake alilotumia shule ya msingi.Uwe unaacha ubishi.Na sketi alikuwa anafunga kwa pini.
Sana.Makamasi yalikuwa yanamtoka kama gunia nne kwa siku.Halafu kikojozi.😂😂😂😂😂Ulimuona alipokuwa shule ya msingi?
Maneno ya mdangaji.!Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.
Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.
Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Ilikuwa shule gani?Sana.Makamasi yalikuwa yanamtoka kama gunia nne kwa siku.Halafu kikojozi.😂😂😂😂😂
Watamfahamu.Ishia hapo.Ilikuwa shule gani?
Uongo wa wazi kabisaa.Watamfahamu.Ishia hapo.
Kwa hiyo unataka nieleze umma kwamba weye na mwenzio mlisoma "Loleza Girls School"?Mimi sisemi.Watu watajua tu.Uongo wa wazi kabisaa.
Amelamba asali wapi,kwani kulamba asali kosa.Mf we unaasali yako home ukalamba tatizo lipo wapi?Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.
Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.
Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Unamuuliza kibaka huyo hilo swali?Akijibu kwa ufasaha naacha kuwa mfalme wa familia yangu.I'm his own "His Majesty"!Amelamba asali wapi,kwani kulamba asali kosa.Mf we unaasali yako home ukalamba tatizo lipo wapi?
Nakujua wewe ni chawa.Kwa hiyo unataka nieleze umma kwamba weye na mwenzio mlisoma "Loleza Girls School"?Mimi sisemi.Watu watajua tu.
Si kweli.Nakataa.Mimi ni baba Bhoke!😂😂😂Nakujua wewe ni chawa.
🤣Si kweli.Nakataa.Mimi ni baba Bhoke!😂😂😂
Tena Bhoke wa Kyawazaru.
Ulitaka akurambe wewe?Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.
Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.
Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Wengi akina nani mkuuWengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.
Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.
Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Hapana Mbowe ndio tatizo
Mm Napenda. Mbona ccm nao wanalamba asali na maziwa
Mkuu Moisemusajiografii , umejuaje kuwa Mkuu Kamanda Asiyechoka ni she?!.Akipeleka posa kwa wazazi wako ili akuoe na aachane na CHADEMA utachekelea eti?Akutunze weye tu