WanaCHADEMA wengi hatupendi namna Mbowe alivyolamba asali ila hatuna namna maana hatuna maamuzi

WanaCHADEMA wengi hatupendi namna Mbowe alivyolamba asali ila hatuna namna maana hatuna maamuzi

Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Walalamikie wanaogawa asali ambayo ndo kodi yako.
 
Mission ya ccm na CHADEMA imeshakamilika kwa nchi YANGU TANZANIA!!

Ni muda wa Taasisi zote kufa kifo cha asili!Na Taasisi Mpya zitazaliwa!ndizo zitakazo shika hatamu Baada ya katiba Mpya kupatikana!

TUSUBIRI
 
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
chadema gani wanakuwaga no hoja za kimbea hivi?
 
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Chadema hawana mashoga kama wewe
 
Mbowe yupi unamyezungumzia?

Huyu aliyewagaragaza na kesi feki ya kubumba ?

Mbowe huyu huyu mliyembomolea miradi yake ili mumdhoofishe kisiasa?

Mbowe huyu huyu mliyekua mnatumia majambazi yanayokaa ofisi ya umma kwa kivuli cha ukuu wa wilaya kuvamia hotelini kwake na kuteka walinzi?

Mbowe huyu huyu ambaye video ipo akimwambia huwezi kushinda uchaguzi ilhali kura hazijapigwa tafsiri yake ilikuwa ni rahisi CCM kura walikuwa nazo tayari kwenye box wananchi walienda kukamilisha ratiba.

You can't be serious dude.
 
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Marekebisho.... Wanachadema wengi hawapendi na sio hatupendi!! Acha ujinga yuuu viii sisiemu ww..
 
Chawa mkubwa India nembo ya Chadema kwenye profile yako
 
Back
Top Bottom