WanaCHADEMA wengi hatupendi namna Mbowe alivyolamba asali ila hatuna namna maana hatuna maamuzi

WanaCHADEMA wengi hatupendi namna Mbowe alivyolamba asali ila hatuna namna maana hatuna maamuzi

Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
mmmmh mhhhh 😁😁😁 we sio chadema hv unawajua chadema wanavyompend mbowe ww
 
Wengi tunataka kuwa na msimamo thabiti na madhubuti kupinga maovu, ufifisadi na kutetea wananchi wawe na maisha bora.

Leo hii hali ni ngumu sana maana raia wanalia juu ya ugumu wa maisha. Raia wanalia juu ya kupanda bei nafaka na vyakula vikuu vinavyohitajika hapa nchini.

Mbowe amecollude na CCM na sasa amethibitisha kuwa yeye ni CCM B na hajali lakini sisi wanachama wa Chadema hatupendi alichofanya ila hatuwezi kupinga ng'o.
Punguza tamaa, ubinafsi na unafiki! Hii project Yako ya kumnanga mbowe na cdm ambao huhusiani nao Kwa lolote zaidi ya kuwinda teuzi za ccm hazitakusaidia lolote!
Na futa wazo lako la kudhani yale ya selasini na mapinduzi ya kiduanzi kule nccr yatahamia cdm!
Utahangaika Sana Kwa unafiki wako wa kutaka kuibomoa cdm kwani hiyo kazi ilimshinda mwenfakuzimu badala ya cdm kufa na kusambaratika akaishia yeye!
 
Punguza tamaa, ubinafsi na unafiki! Hii project Yako ya kumnanga mbowe na cdm ambao huhusiani nao Kwa lolote zaidi ya kuwinda teuzi za ccm hazitakusaidia lolote!
Na futa wazo lako la kudhani yale ya selasini na mapinduzi ya kiduanzi kule nccr yatahamia cdm!
Utahangaika Sana Kwa unafiki wako wa kutaka kuibomoa cdm kwani hiyo kazi ilimshinda mwenfakuzimu badala ya cdm kufa na kusambaratika akaishia yeye!
Non sense
 
Back
Top Bottom