Unajuaje kama ni activeActive huwa hanipendi ananilima Ban.
Ukiona unakomenti hapa muda huu ujue haupoNisippkuwepo hiyo list ni batili.
Changamoto ni kwamba kuna username nyingine kuzitaja hadharani ni tatizo ebu ona kitu kama kitombile au inamanikuswekeShida mnataja real names..!! Ingependeza hata huko tuzoni mtaje fake names According to his/her USERNAME ID..
Basi acha ubatili uendelee.Ukiona unakomenti hapa muda huu ujue haupo
Mimi nitapata tuzo ya uvumilivu,wewe ukipigwa ban ya mwaka mzima si utakufa njaa.Kwanza unatakiwa upigwe ban na leo pia.
Wewe utapewa tuzo ya ujinga na umbumbumbu ๐๐๐Mimi nitapata tuzo ya uvumilivu,wewe ukipigwa ban ya mwaka mzima si utakufa njaa.
Change your fingertips
Kuna msosi kweli?
active nasikia ni mdada flani bongeUnajuaje kama ni active
Mi najiuliza wanatumia vigezo gani kuita kushuhudia?nikiitwa mniamshe nalala
Hamna ni mwana.active nasikia ni mdada flani bonge
AiseeeNdio wanapitisha msosi hapaView attachment 3102333
Na mimi nalipia Platinum mwakani.Huyu hawezi kukosa๐๐
SubiruMshakula?
JF sio mamlaka ya mapato ๐๐ฟHivi izi sio kodi zetu izi mnazokunywa uko?
Hizi hazipo๐๐๐๐คฃNdio wanapitisha msosi hapaView attachment 3102333
Hivi ni bei gani kua platinum member??Na mimi nalipia Platinum mwakani.
Mi najiuliza wanatumia vigezo gani kuita kushuhudia?