Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
K4life amepata mrithi wake anaitwa @wastendi huyo jamaa nae ana post zake utata mtupu...Mzee wa hadithi za uongo K 4 LIFE yupo wapi?
Atakuwa ndo yeye.K4life amepata mrithi wake anaitwa @wastendi huyo jamaa nae ana post zake utata mtupu...
Huyo wa stendi kuna siku eti aliuliza itatoke nn iwapo utaweza kuyashka na kuyazuia mapanga ya chopa ikiwa angani..? Je body ya chopa itazunguka... Duuuuh hapo nilimpa shikamoo zake..Atakuwa ndo yeye.
Hahaha, K 4 LIFE aliuliza kama ndege inapigq reverse na kama ina side mirrors.Huyo wa stendi kuna siku eti aliuliza itatoke nn iwapo utaweza kuyashka na kuyazuia mapanga ya chopa ikiwa angani..? Je body ya chopa itazunguka... Duuuuh hapo nilimpa shikamoo zake..
Akaja uliza eti aliechora raman ya dunia alikuaa kakaa wapi kipindi anachora...
Khaaaaaa rivasi tena na vioo.... Aisee kuna umuhimu wa kuanza kupitia mada za k4real.. Aisee ni zaid ya comedy..Hahaha, K 4 LIFE aliuliza kama ndege inapigq reverse na kama ina side mirrors.
Kwahiyo Vale ako nice kapicha Kako? [emoji39] [emoji39] [emoji39]Itajulikana tu... Bahati nzuri sikuhizi hatujifichi sana... So ni rahisi habari kufika
Hivi kwa nini ndege, boti, mitumbwi, treni hazina kondakta?Khaaaaaa rivasi tena na vioo.... Aisee kuna umuhimu wa kuanza kupitia mada za k4real.. Aisee ni zaid ya comedy..
Duh! Hayo maswali ya wastend nimeyapendaHuyo wa stendi kuna siku eti aliuliza itatoke nn iwapo utaweza kuyashka na kuyazuia mapanga ya chopa ikiwa angani..? Je body ya chopa itazunguka... Duuuuh hapo nilimpa shikamoo zake..
Akaja uliza eti aliechora raman ya dunia alikuaa kakaa wapi kipindi anachora...
K 4 LIFE nasafari zake za mikumi napikipiki itakua simba wamemuotea ths time ad asomekiMzee wa hadithi za uongo K 4 LIFE yupo wapi?
Baadhi ya fix za K 4 LIFE.K 4 LIFE nasafari zake za mikumi napikipiki itakua simba wamemuotea ths time ad asomeki
Hivi kwa nini ndege, boti, mitumbwi, treni hazina kondakta?
Watangazaji wetu: Juu tai, shati, koti ila chini jinsi /kaptula na raba
Hatari: Wife wa mshikaji ameanza kulala na panga
Kesho naenda Somalia kwa pikipiki
Aliota anakimbizwa, aliposhtuka kajikuta sokoni Kariakoo
Msaada: Mpangaji mwenzangu ni mchawi
Amenitokea leo usiku anatisha sana
Nimesemeshwa na paka leo jioni
Nimepambana na nyati live
Niko tofauti na hiyo avatarKwahiyo Vale ako nice kapicha Kako? [emoji39] [emoji39] [emoji39]