FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Ni kweli humu unaweza jibishana na baba mkwe au baba mwenye nyumba bila kujuani neno hilo mtoa mada...sema na hivi hatujuani zaidi ya haya majina ya humu, waweza shangaa unakwenda kwenye msiba wa ndg au rafiki yako au mtu yeyote tu unayemjua kumbe ndo mwana jamii forums mwenzako!...bila kujua hio...dah tumuachie Mwenyezi Mungu tu mtu ikitoea imejuliana amefariki basi tujaribu kushiriki na km haitajulikana basi tuomeane kheir tu ila wakati...
Au hiyo K kwenye ID yake (K 4 LIFE) imechukua uhai wake!Baadhi ya fix za K 4 LIFE.
soma vzr uelewe,wengine wanajuana humuWakati hatujuani physically mnajuaje au wakishakufa hurudi na kuanzisha uzi wa RIP?
aseee.. very sad,ilizibithishwa alikufa?anaitwa folkNimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)
Ripoti ya daktari inasema baada ya miezi 4 nitakufa kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4.) Kwa hiyo miezi minne ijayo nitaweza kuona kile marehemu wanachoona sijui kufa kunaumaje? Juzi nimepita kando ya makaburi nikaishia kutabasamu tu nilipogundua next 4 month nitafukiwa...www.jamiiforums.com
Folk alifariki kimasikhara maskhara tu. Alinihuzunisha kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
maskini, RIP yona maro naona nivema kuwatag,incase sio kweli wakanusheYona Maro
maskini, RIP@Yona Maro naona ni vema kuwatag,incase sio kweli wakanushe
Huu uzi umefukunyuliwa tena
OkayWalikuwa wameanzisha uzi mwingine wenye maudhui kama huu umeunganishwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake siyo watu wa mchezomchezomaskini, RIP yona maro naona nivema kuwatag,incase sio kweli wakanushe
Mambo dia,
Hivi Brenda yuko wapi? Sijamuona siku nyingi.
Aiseeeeeeeeeh
sijui simu yangu ndio ina tatzo, ila nikiangalia naona id iko online.......aseee.. very sad,ilizibithishwa alikufa?anaitwa folk