Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana sio wote tunakuwa na taarifa za vifo vyao!Hivi watu wenye multiple accounts dhahama yao inakuaje?
Nilisikia za chini chini aliuwawa na majambazi alikuwa mfanyabiashara maarufu hapo K/koo!
Hapana your amongst the favourites!Sijawahi kulitambua Hilo, me najiona ni wale underdogs
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Acha Kabisaa it was hard!!![emoji22][emoji22][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]so hard
Mungu ampe pumziko amekufa kijana mdogo Sana Tena mnoo!!!
R.i.p to them.
sikufahamu kama hatuko nae tena huyu Member
R.I.P sote njia yetu ni mojaPengine Kuna mbembers walikuwa active lakini siku na siku zikazidi kwenda tukakosa kuwaona humu jukwaani R.I.P. Kwao walio kutwa na matatizo ikapelekea kutangulia mbele za haki. tangu Jf imeanzishwa hadi sasa tuseme REST IN PEACE na Mwenyezi Mungu awalaze mahali pema peponi Amen.