Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chini jeans au kadeti? Slim fit au bwanga?View attachment 3029666
Mad Max code zake ni sweta au koti za leather au jeans during winter. Wakati wa jua kali kama una body nzuri unavalia shati white libane mwili vizuri.
Apige kaunda SUTI 😅Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.
Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukivalia jeans isiyo staff jeans utawaka sana na asa iwe black jeans kama ni sweta.Chini jeans au kadeti? Slim fit au bwanga?
Eeeh ndiwooo!!!View attachment 3029626
Unyama ni mwingi ukijua kupigilia na pamba za maana afu ukute we ni tall mwenye mwili wa gym lazima ùtishe.....
Suruali ni cadets, kuhusu shati bas iwe ya mikono mirefu uvalie na koti hasa Yale official,Gusia basi aina ya shati na suruali..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akiwa kwenye matembezi ndo atoke casual hivyoo, ila kazini au chuoni au ofisini atokee nilivyosemaa mie.View attachment 3029666
Mad Max code zake ni sweta au koti za leather au jeans during winter. Wakati wa jua kali kama una body nzuri unavalia shati white libane mwili vizuri.
Hapanaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apige kaunda SUTI [emoji28]
Hizi pia sisi watu wa Sarawili mita moja hazifaiKunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.
Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Avalie Nini 😅Hapanaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haaahaa ngoja waje hawakawii kukupa majina ya ajab ajab 😅😂hivi mwanaume unaishije mkoani ambako vitukibao havipatikani?
mnaroho ngumu sana aisee
Andaa laki 350000 upate Travolta ya Timberland kama yangu
Sawa, niwekee Picha hapa MkuuAndaa laki 350000 upate Travolta ya Timberland kama yangu
Haswaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi pia sisi watu wa Sarawili mita moja hazifai
Kama ni kistuli travoo inabidi uione kama ukoma
Kama upo Kanda ziwa Kuna bro anaviuza hapo kahama bei kitonga tu kama DarBoss kwako zinaendaje ??
Hizi ni [emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 3033295
View attachment 3033296
Mimi sijioni nikivaa raba za aina hii naonaga Kama UHUNI VILE..