Wanadasalama hizi Travolta Shoes ,nazipataje ? Niko Mkoani.

Wanadasalama hizi Travolta Shoes ,nazipataje ? Niko Mkoani.

Hizi ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Hasa uwe na mikato ya ki casual, unakua [emoji95][emoji95][emoji95]

Mie kwa mwanaume natazamaa dundo na dress code yakee, hapo ananimalizaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sijakumaliza bado Mali safi
 
Na ukamuelewa hatari😂
Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.

Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.

Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kupiga nn?
si nyama! unavunga hujui juzi tu nimekuita intelligent nini hichi unanionyesha hapa ntakuvua kivazi hicho shauli yako...😅
 
si nyama! unavunga hujui juzi tu nimekuita intelligent nini hichi unanionyesha hapa ntakuvua kivazi hicho shauli yako...[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee K ushaanza, em tulizanaaa.
 
Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.

Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakumbukumbu hujambo na unanikumbuka mpaka Leo
 
Andaa laki 350000 upate Travolta ya Timberland kama yangu
Hii pesa uliyoandika hapa una uhakika ni ya kununulia travolta ama ndege aina ya Boeing zisizo na idadi.

Unaposema laki 350,000 unajua ni bei gani?

Kama ulimaanisha laki tatu na nusu ungeandika 350,000, 350k laki tatu na nusu ama laki 3 na nusu ungeeleweka.
 
Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.

Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema sasa hivi nimeacha kuvaa hizo...
Ilaa nitaanza kumbe nilikua napendeza sana eeeh
 
Sema kwa faida yangu.
Screenshot_20240704-182446.png
 
Back
Top Bottom