Wanadasalama hizi Travolta Shoes ,nazipataje ? Niko Mkoani.

Wanadasalama hizi Travolta Shoes ,nazipataje ? Niko Mkoani.

Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.

Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
habari cocastic naomba urudishe ile picha yako ya mwanzo,

Ahsante.
 
Hizi ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Hasa uwe na mikato ya ki casual, unakua [emoji95][emoji95][emoji95]

Mie kwa mwanaume natazamaa dundo na dress code yakee, hapo ananimalizaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi wajukuu wa SOKOINE tuna pair mbili za shati na suruali na jozi mbili za viatu😅😅😂
 
Hizi ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Hasa uwe na mikato ya ki casual, unakua [emoji95][emoji95][emoji95]

Mie kwa mwanaume natazamaa dundo na dress code yakee, hapo ananimalizaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah masihara haya anakumalizaje sasa😅
 
1002259262.jpg
 
Back
Top Bottom