Sijakumaliza bado Mali safiHizi ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Hasa uwe na mikato ya ki casual, unakua [emoji95][emoji95][emoji95]
Mie kwa mwanaume natazamaa dundo na dress code yakee, hapo ananimalizaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimepiga simu asee vimepanda Bei mkuu na hiyo ni Bei ya mchongo.Sawa, niwekee Picha hapa Mkuu
Mcheki OKW BOBAN SUNZU au Mad MaxNatafuta hiyo Travolta ( Clark moja matata sana)View attachment 3028041View attachment 3028042
Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.
Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.
Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikua namuelewa na kumkubalii kinoumaaa. Afu ukitoa hivyo kuna mikato alikua nayo ilikua inani kill haswaa.Na ukamuelewa hatari[emoji23]
Mwanamke wa Mithali 31? Ni wewe?Ni ngozi
si nyama! unavunga hujui juzi tu nimekuita intelligent nini hichi unanionyesha hapa ntakuvua kivazi hicho shauli yako...😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kupiga nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee K ushaanza, em tulizanaaa.si nyama! unavunga hujui juzi tu nimekuita intelligent nini hichi unanionyesha hapa ntakuvua kivazi hicho shauli yako...[emoji28]
halafu ninakesi nawewe...![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee K ushaanza, em tulizanaaa.
Kwakumbukumbu hujambo na unanikumbuka mpaka LeoKunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.
Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii pesa uliyoandika hapa una uhakika ni ya kununulia travolta ama ndege aina ya Boeing zisizo na idadi.Andaa laki 350000 upate Travolta ya Timberland kama yangu
Mcheki OKW BOBAN SUNZU au Mad Max
Sema sasa hivi nimeacha kuvaa hizo...Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.
Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HAPANA mkuu sikubahatikaHuyo mkaka alipiga?
Sema daaah au basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajuajee? Je alijaribu afu akashindwa. Woiiiiih
Ni mimi babeMwanamke wa Mithali 31? Ni wewe?
Sema kwa faida yangu.Ungekuwa Dar ningekuelekeza chimbo zinapopatikana Kariakoo....
Shida upo Mkoa.
NENDA WHITE SHADES WAPO KARIAKOOSema kwa faida yangu.
Sema kwa faida yangu.