..Watanzania wanaoweza kuwa Katibu Mkuu UN ni wale waliolelewa kitaaluma ndani ya mashirika ya kimataifa kama UN, WB, IMF, Commonwealth Secretariat, etc.
UPDATE
Asante sana mama Samia, kwa tamko lako la kuirudishia Tanzania umaarufu uliokuwa nao kidiplomasia.
Nakushukuru Mama Samia kwa kuwa msikivu, kwa michango chanya kwa Taifa.