johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wanafamilia 5 waliokufa wakati wa kumuaga hayati Magufuli uwanja wa uhuru wanazikwa leo nyumbani kwao Kimara.
Ibada ya kuwaombea marehemu inafanyika katika Kanisa la KKKT Kimara na inaongozwa na mchungaji kiongozi wa Kanisa hilo.
Mkuu wa wilaya ya Ubungo na mbunge wa Kibamba wamehudhuria ibada ya mazishi.
Mbunge wa Kibamba mh Mtemvu amesema leo alitakiwa kuwa Chato kwenye mazishi ya hayati Magufuli lakini ameahirisha ili aweze kushiriki msiba wa wapiga kura wake.
Imeelezwa Kanisani hapo hata yule house girl " dada" ambaye naye alikuwa hajulikani alipo naye amepatikana akiwa amekufa.
Hivyo jumla ya wanafamilia waliofariki katika tukio hilo ni 6.
RIP Magufuli
Ibada ya kuwaombea marehemu inafanyika katika Kanisa la KKKT Kimara na inaongozwa na mchungaji kiongozi wa Kanisa hilo.
Mkuu wa wilaya ya Ubungo na mbunge wa Kibamba wamehudhuria ibada ya mazishi.
Mbunge wa Kibamba mh Mtemvu amesema leo alitakiwa kuwa Chato kwenye mazishi ya hayati Magufuli lakini ameahirisha ili aweze kushiriki msiba wa wapiga kura wake.
Imeelezwa Kanisani hapo hata yule house girl " dada" ambaye naye alikuwa hajulikani alipo naye amepatikana akiwa amekufa.
Hivyo jumla ya wanafamilia waliofariki katika tukio hilo ni 6.
RIP Magufuli