Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi serikali ya Magufuli ilimweka ndani Mwamposa?Ingekuwa serikali ya Magufuli, wazazi wangeozea jela kwa uzembe
Kigogo kasemaje kwani?Poleni sana nasikia na mbunge wa ubungo ndo hivo tena hatunae.
Naomba niishie hapo tafadhali
Kuweka historia ya kuagwa marehemu na watu bilioni nne duniani kote! Hakuna sababu nyingine zaidi ya hii.Watoto walifuata nini kwenye kuaga mwili wa marehemu. Haya mambo ya kutaka kuandika historia yanatakiwa kuwa nayo makini.
Na wanachapa kaziTunasubiria kauli ya pm anaweza kusema marehemu ni wazima wako wamepumzika
Ni ubaguzi wa kigalatia.SIO WATANO NI 6, mbona house girl hamumtaji?
Duuh poleni sana jaman mweee...Mpangaji mwenzangu amefariki naye alienda kumuaga magufuli,ameacha mke na watoto wawili
Serikali hii hii ambayo Rais amegoma kusema chochote na hata kutoa pole tu?Kuna umuhimu kwa familia za wahanga wote kulipwa fidia na serikali. Wangefuata taratibu sahihi za miaka yote za kuwaaga viongozi wa kitaifa, haya yote yasinge tokea.
polen na msibaMpangaji mwenzangu amefariki naye alienda kumuaga magufuli,ameacha mke na watoto wawili
Inasikitisha sana mkuuAm
Amina mkuu
Sana huwezi amini picha za hao wtt zinajirudia kichwani mwangu naumiaaa naumia sanaInasikitisha sana mkuu