Wanafunzi 56,149 Wamepata Disivion 0 Kidato cha 4, zaidi ya Laki 2 wamepata Division 4

Wanafunzi 56,149 Wamepata Disivion 0 Kidato cha 4, zaidi ya Laki 2 wamepata Division 4

HATUSIKII HAMTUPANGII CCM MBELE KWA MBELE WATOTO WETU WAPO FEZA CCM MBELE KWA MBELE TUNATENGENEZA WAPIGA KURA CCM MBELEKWAMBELE WACHA MUISOME NAMBAA EEH, MTAJUANA WENYEWE
 
Tunahitaji mafundi mchundo wengi, wajenzi, maseremali, mafundi umeme, wakulima, wazoa taka na wengineo watakaofanya kazi za mikono kwa wingi.

Nchi itajengwa na nani kila mtu akipata DIVISHENI ONE?? Nani atatuchimbia vyoo? Nani atalima??

We need more slaves and labourers.

Asanteni sana wazazi kwa kutuzalia MADIVISHENI FOO.

Huu ndio uchumi wa kweli. Lazima wenye akili wawe wachache na mamburulaz wawe wengi.

Cc Nyani Ngabu

Depal
 
Licha ya Takwimu za Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha 4 zilizotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania kuonesha Watahiniwa 484,823 (87.65%) wamefaulu Mtihani huo, Watahiniwa 56,149 (10.64%) wamefeli kwa kupata Daraja 0.

Pia, Jumla ya Watahiniwa 274,001 (51.94%) wamepata Daraja la 4 ikiwa ni ongezeko la 1.1% kutoka Watahiniwa 264,627 (50.84%) waliofanya Mtihani mwaka 2022.

Aidha, Ufaulu wa Somo la Hisabati umeendelea kuwa chini ambapo takriban 74.58% ya Watahiniwa waliofanya Mtihani wamefeli Somo hilo na waliofaulu ni 12.75% pekee katia 527,608.

View attachment 2882920
mwenye matokeo ya zanzibar atuwekee hapa please
 
Kwa sehemu kubwa elimu yetu haina faida yoyote. Elimu inayotupilia mbali zaidi ya asilimia 60 ya wanafunzi haina maana yoyote. Mara mia waliokuwa wanafundishana kuwinda, kuunda vyungu, kuvua, kufuga nk.
Kwa zama hizi za sayansi na technolojia haijalishi atapata ajira au la!! lazima mtoto asome! Usipoenda shule moja kwa moja anakuwa ametemwa namfumo wa maisha kwasababu kila fursa inayojitokeza password ni "UNA ELIMU GANI". Tuache kujidanganya! Hata wewe hapo umeanzisha kakitega uchumi kanakohusisha utumiaji wa akili lazima utajari elimu ya huyo utakaye muajiri. Hatusomi kuajiliwa! Tunasoma ili tuweze kujua mazingira yanayotuzunguka ili iwe rahisi kuakabiliana na changamoto za maisha!
 
Hao waliofeli ni jukumu la wazazi kuwasimamia na kumsaidia mtoto kwenda kule wanapodhani wataweza. Binafsi huwa najutia muda niliopoteza darasani na hela nilizosemeshewa laiti ningepewa mkononi ningekua mbali zaidi ya hapa nilipo.
 
hapo vipi 👇👇👇👇
20240126_100538.png
 

Attachments

  • 20240126_100505.png
    20240126_100505.png
    7.6 KB · Views: 4
Kwa zama hizi za sayansi na technolojia haijalishi atapata ajira au la!! lazima mtoto asome! Usipoenda shule moja kwa moja anakuwa ametemwa namfumo wa maisha kwasababu kila fursa inayojitokeza password ni "UNA ELIMU GANI". Tuache kujidanganya! Hata wewe hapo umeanzisha kakitega uchumi kanakohusisha utumiaji wa akili lazima utajari elimu ya huyo utakaye muajiri. Hatusomi kuajiliwa! Tunasoma ili tuweze kujua mazingira yanayotuzunguka ili iwe rahisi kuakabiliana na changamoto za maisha!
Lakini asilimia 60 wanashindwa kufikia hilo lengo la elimu, kujua mazingira yanayowazunguka na kukabiliana na changamoto za maisha. Huoni kuwa hapo elimu imefeli?
 
Back
Top Bottom