mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Kuna shule moja huku kwetu yaani ni aibu,Ina 1 moja na 2 tatu, four 134 na ziro za kumwaga.Kwa hiyo hao 50k walikuwa wanakwenda na kurudi tu shule bwerere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna shule moja huku kwetu yaani ni aibu,Ina 1 moja na 2 tatu, four 134 na ziro za kumwaga.Kwa hiyo hao 50k walikuwa wanakwenda na kurudi tu shule bwerere
We acha tu,inauma vibaya mno sema wadogo zetu hawa hawajui tu,Wazazi wanalia ndio maana Jana kuna Mzee nilimuona km amevutugwa hivi daah
Sasa hivi wanafikiria nini cha kufanya huko maana maisha lazima yaendeleeWe acha tu,inauma vibaya mno sema wadogo zetu hawa hawajui tu,
Watoto hawa nao hawazingatii masomo, siku Kama ya Jana ndiyo majuto.
mwenye matokeo ya zanzibar atuwekee hapa pleaseLicha ya Takwimu za Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha 4 zilizotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania kuonesha Watahiniwa 484,823 (87.65%) wamefaulu Mtihani huo, Watahiniwa 56,149 (10.64%) wamefeli kwa kupata Daraja 0.
Pia, Jumla ya Watahiniwa 274,001 (51.94%) wamepata Daraja la 4 ikiwa ni ongezeko la 1.1% kutoka Watahiniwa 264,627 (50.84%) waliofanya Mtihani mwaka 2022.
Aidha, Ufaulu wa Somo la Hisabati umeendelea kuwa chini ambapo takriban 74.58% ya Watahiniwa waliofanya Mtihani wamefeli Somo hilo na waliofaulu ni 12.75% pekee katia 527,608.
View attachment 2882920
Kwa zama hizi za sayansi na technolojia haijalishi atapata ajira au la!! lazima mtoto asome! Usipoenda shule moja kwa moja anakuwa ametemwa namfumo wa maisha kwasababu kila fursa inayojitokeza password ni "UNA ELIMU GANI". Tuache kujidanganya! Hata wewe hapo umeanzisha kakitega uchumi kanakohusisha utumiaji wa akili lazima utajari elimu ya huyo utakaye muajiri. Hatusomi kuajiliwa! Tunasoma ili tuweze kujua mazingira yanayotuzunguka ili iwe rahisi kuakabiliana na changamoto za maisha!Kwa sehemu kubwa elimu yetu haina faida yoyote. Elimu inayotupilia mbali zaidi ya asilimia 60 ya wanafunzi haina maana yoyote. Mara mia waliokuwa wanafundishana kuwinda, kuunda vyungu, kuvua, kufuga nk.
Lakini asilimia 60 wanashindwa kufikia hilo lengo la elimu, kujua mazingira yanayowazunguka na kukabiliana na changamoto za maisha. Huoni kuwa hapo elimu imefeli?Kwa zama hizi za sayansi na technolojia haijalishi atapata ajira au la!! lazima mtoto asome! Usipoenda shule moja kwa moja anakuwa ametemwa namfumo wa maisha kwasababu kila fursa inayojitokeza password ni "UNA ELIMU GANI". Tuache kujidanganya! Hata wewe hapo umeanzisha kakitega uchumi kanakohusisha utumiaji wa akili lazima utajari elimu ya huyo utakaye muajiri. Hatusomi kuajiliwa! Tunasoma ili tuweze kujua mazingira yanayotuzunguka ili iwe rahisi kuakabiliana na changamoto za maisha!
Tatizo siyo wanafunzi, tatizo ni shule.We acha tu,inauma vibaya mno sema wadogo zetu hawa hawajui tu,
Watoto hawa nao hawazingatii masomo, siku Kama ya Jana ndiyo majuto.
Wanaishia njiani, mimba, utoro, kuolewa, kuchunga mifugo n.k.Mbona Sekondari Kuna wanafunzi wachache hivyo? Wale Mamilioni wanaanza form 1 Huwa wanaishia wapi?
Mzee baba mbona sikuoni kwenye kitabu cha malcom x toka decKwa sehemu kubwa elimu yetu haina faida yoyote. Elimu inayotupilia mbali zaidi ya asilimia 60 ya wanafunzi haina maana yoyote. Mara mia waliokuwa wanafundishana kuwinda, kuunda vyungu, kuvua, kufuga nk.
PC yenye documents za word ilisumbua. Mpaka nifanye kutoa data. Tutaendelea.Mzee baba mbona sikuoni kwenye kitabu cha malcom x toka dec
kama zipo kwenye pdf unaweza zi covert online kwenda kwenye word au unapogungua pdf nenda sehemu ilipo andikwa open with wew unachagua open with wordPC yenye documents za word ilisumbua. Mpaka nifanye kutoa data. Tutaendelea.